Ronee
Senior Member
- Jun 1, 2018
- 156
- 155
Natumai siku si nyingi hapo mbeleni shule zitafungulia itakapowapendeza watawala,
Hivyo basi, Naomba kufahamishwa shule nzuri ya boarding (english medium) kwa Dodoma. Iwe ya shirika ama binafsi na yenye bei ya kizalendo kidogo. Natambua uwepo wa mashule yenye majina makubwa kama m. Luther, hapana si hayo namaanisha. Naamini zipo nyingine nzuri tu ila hazivumi Sana. Karibuni wazazi.
Hivyo basi, Naomba kufahamishwa shule nzuri ya boarding (english medium) kwa Dodoma. Iwe ya shirika ama binafsi na yenye bei ya kizalendo kidogo. Natambua uwepo wa mashule yenye majina makubwa kama m. Luther, hapana si hayo namaanisha. Naamini zipo nyingine nzuri tu ila hazivumi Sana. Karibuni wazazi.