Kuelekea Juni 16, 2016: Simu feki kizaazaa

Kuelekea Juni 16, 2016: Simu feki kizaazaa

Uwiiii mie yan sijui Nitafanyaje naona kwenye hilo. Gazet limeandika makampun ya cm yamejitolea kutoa offa ya cm mwenye contact zao pls aniwekee hapa ili nijaribu kuomba labda ntapata hiyo offa.
nenda shops zao upate cm...
tigo wana aina mbili za simu moja ni UNANUNUA VOCHA ZA 22000 unapewa simu bure au vocha za 200000 unapewa smart phone bure. mi nimechukua moja
 
Mulhat Mpunga habari ya simu feki kufungiwa hainishangazi kama hiyo habari ya Mbunge Lusinde kuunga mkono wabunge kukatwa kodi kwenye kiinua mgongo. Yawezekana kweli akasema hayo bila kupata maelekezo kutoka kwa mtu au watu.........?
 
HIVI ZINAZIMWA KWELI HIZI SIMU, YAAANI MAISHA YANAONGEZEKE KUWA MAGUMU MIE NIANZE KUWEKA LAKI MBILI YA SIMU UWII HELA HAKUNA, HAPANA WACHA NIFANYE MAMBO MENGINE, KUMSALIMIA MAMA NTAMUANDIKIA BARUA HAHA LEO ANAIPATA WIKI IJAYO PERIOD BYE BRY SIMU
3.jpg
Naona TCRA wanataka kutuweka kimatabaka humu jukwaani
 
Kesho wana zima network kwa kwenye simu ambazo ni "fake".

Mawazo yangu, kwanini TCRA hawakufanya kitu kama majaribio . kuanzia tarehe 1 June kuna majaribio ya kuzima mitambo ila ifikapo tarehe 16 ndio zoezi zima litakuwa limekamilika and no turning back.

Sawa wametoa matangazo namba yabl kujua simu yako ni fake au la. Ila kuna kitu kinaitwa "human error"
Je kwa wale wa hanga wa human error wanapataje msaada maana kwenye kila mfumo mpya hakukosi makosa mdogo mdogo.

TCRA wana uhakika kamili na system yao?
 
sitakudai wala kutaka chochote toka kwako
KWA AVATAR YAKO NAKUBALI NOTI NOTI NOTI SASA NTAKUPATAJE ILHALI NITAPOTEA HEWANI GHWAFLA? HAHAHAHA MKUU NIKUTAFUTE KABLA YA KESHO SAA 6 USIKU AMA NIAJE ...

MAANA SIMU ZITAZIMA GHAFLA KAMA YESU ATAKAPORUDI ,,,,,,,,,
 
Sio wakubadilishie,wakuuzie kwani bure!
nenda shops zao upate cm..tigo wana aina mbili za simu moja ni UNANUNUA VOCHA ZA 22000 unapewa simu bure au vocha za 200000 unapewa smart phone bure. mi nimechukua moja
 
HIVI ZINAZIMWA KWELI HIZI SIMU, YAAANI MAISHA YANAONGEZEKE KUWA MAGUMU MIE NIANZE KUWEKA LAKI MBILI YA SIMU UWII HELA HAKUNA, HAPANA WACHA NIFANYE MAMBO MENGINE, KUMSALIMIA MAMA NTAMUANDIKIA BARUA HAHA LEO ANAIPATA WIKI IJAYO PERIOD BYE BRY SIMU
3.jpg
Kuwa na simu original hakuhitaji pesa nyingi,hata kwa tsh.18,000/= unapata original.
 
KWA USAWA HUU 18000 ISIYO KWENYE BAJET KHAA HAPANA MIE ITAKUWA NGUMU
 
Mkuu pole sana, naona umeanza kulia kabla ya tukio,usijali sana simu yako utatumia kwenye radio/memo/ kupigia picha na kunasia sauti mbalimbali japo tutakumisi sana JF.
 
Z
Pole sana, nunua nokia ya tochi,
INAPATIKANA SASA ? TANGU WACHAINIZ.. WATULETEE HAYA MASIMU YAO FEKERO YENYE MILIO YA KUWATOA NYOKA PANGONI TULIZIZADHARAU NOKIA ZA TOCHI, UKIMWINA MTU ANAITUMIA UNAMWONA KAPITWA NA WAKATI SASA NI ZAMU ZETU KUANGALIWA KWA KINYAA
 
Uwiiii mie yan sijui Nitafanyaje naona kwenye hilo. Gazet limeandika makampun ya cm yamejitolea kutoa offa ya cm mwenye contact zao pls aniwekee hapa ili nijaribu kuomba labda ntapata hiyo offa.


Ofa maana yake punguzo la bei tehetehe

Uwekewe namba kwani hujui makampuni ya simu ya tz ? Voda, tigo, airtel, halotel ,zantel.......

Kwa sasa

Biashara ya simu huko kariakook itakwama, ili niwe na uhakika wa simu niliyonunua , na kama litatokea lolote la kutokea kwenye simu hiyo nawarudia hawa makampuni..
Maana huko kariakoo simu feki, maduka hewa, risiti magumashi.... Ukinunua leo ukirudi kesho unapigwa kiswahili balaa hahahaha
 
Back
Top Bottom