Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Kama tujuavyo Jumapili hii kuna mtanange wa Watani wa jadi Simba vs Yanga. Katika mchezo huu Simba ndio mwenyeji huku Yanga akiwa mgeni, kama tunavyojua lazima kunakuwepo na hamsha popo na hamasa kwa mashabiki na wapenzi wa timu mwenyeji kuhamasisha mashabiki wao wajae kwa wingi uwanjani.
Mpaka sasa hakuna hamasa yoyote kutoka kwa msemaji wa Simba, je ndio tuseme amekata pumzi au amenusa ameona hawana ubavu wa kuifunga Yanga kwa hiyo hawataki mashabiki wengi uwanjani ili aibu waipate wakiwa wachache?
Mpaka sasa hakuna hamasa yoyote kutoka kwa msemaji wa Simba, je ndio tuseme amekata pumzi au amenusa ameona hawana ubavu wa kuifunga Yanga kwa hiyo hawataki mashabiki wengi uwanjani ili aibu waipate wakiwa wachache?