Tukiwa katika mikakati mizito tukilenga matakwa yetu yatimie 2015 basi ni muda muafaka wa kukata tiketi yako mapema na kuchagua usafiri wa kuingia nao 2015.
Hilo bus la juu ndio usafiri wangu,
hilo la chini ni la rafiki yangu Zomba,huwa najiuliza sijui analipendea nini?engine kimeo,siti za chuma break down ni za kufikia,dereva na konda ni wezi hawafikishi mapato kwa mwenye gari,yaani ni balaa tupu.
Ha hahahaha! I love this! Hyo kitu ya juu imetulia na inamvutia mteja. Haina haja ya kupiga debe. kitu ya chini naona mpiga debe analinadi, hapo kupata wateja kaaazi kweli kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.