kudesa

kamau

Member
Joined
Nov 8, 2008
Posts
11
Reaction score
0
Jamaa wawili waifanya interview ya kazi ,bahati nzuri au mbaya wakapata 90% wote wawili na kufungana. Boss akampa kazi yule mtahiniwa wa kwanza.Yule wa pili akaenda kulalamika kwa nini hakupewa kazi na wamepata marks sawa.Boss akamwambia swali la mwisho ameandika I don't know the answer too,ikimanisha alikuwa anafuatilia ya mwnzake one to one na la mwisho akaongezea too
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…