but mimi huwa i have a thing kwa wanawake
wanaopenda kudeka......
kuna mtu humu amewahi ona tangazo la hakielimu kuhusu
msichana anaitwa mikogo ambae amerudishwa shule kwa kukutwa na simu ya mkononi????
nilipenda jinsi alivyowajibu wazazi wake kwa kudeka mno na kubana sauti..
kila nikiliona tangazo lile napoteza netrwork hivi lol