Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, ukitaka stress basi fanya hivi, utachoka...
Ukidate na msichana ambae ametoka kudate na mvulana ambae alimtoa usichana wake na wakaachana ndo akaja kwako jiandae kwa stress, yaani kila mda atakua anaongea kuhusu yeye.
Na kingine nilichoprove, jamaa akimbembeleza anaweza ata kumzawadia tu, kila mda jambo ni hilo hilo, msichana yuko chuo mwaka wa 2, na amekutana na huyo mvulana akiwa form 6, kaja kulala nae akiwa chuo mwaka wa 1, na mwaka wa 2 wakaachana, ndo nikaja mimi..
Ila sasa haipiti wiki hajamtaja, apa ninachofikilia ni kutafta mwanamke slid najua ntampata au awe, ashadate na wavulana ata wanne kulko huyu, ana mapenzi ya dhat ila shda ni ile kumtaja taja x wake
Ukidate na msichana ambae ametoka kudate na mvulana ambae alimtoa usichana wake na wakaachana ndo akaja kwako jiandae kwa stress, yaani kila mda atakua anaongea kuhusu yeye.
Na kingine nilichoprove, jamaa akimbembeleza anaweza ata kumzawadia tu, kila mda jambo ni hilo hilo, msichana yuko chuo mwaka wa 2, na amekutana na huyo mvulana akiwa form 6, kaja kulala nae akiwa chuo mwaka wa 1, na mwaka wa 2 wakaachana, ndo nikaja mimi..
Ila sasa haipiti wiki hajamtaja, apa ninachofikilia ni kutafta mwanamke slid najua ntampata au awe, ashadate na wavulana ata wanne kulko huyu, ana mapenzi ya dhat ila shda ni ile kumtaja taja x wake