You are damn smart... wengine tulishakurupuka na kujiaminisha huyu moskwito anaposema kudanganya alimaanisha cheating a.k.a infidelity.
Waweza kuta anamaanisha ule uongo wa "uko wapi" weye wajibu uko Shamba Mapinga kumbe uko Mbagala unakata kiu Dar Live.
Inategemea na jinsia aisee.....
ainkiller:
Women cheat for reason (kulipiza visasi, kutoridhishwa na aliye naye, kuwa mbali na mpenzi wake, hali mbaya ya uchumi....nk nk nk)
:A S thumbs_down:
Men cheat for pleasure...a.k.a Kudumisha mila.. Mwanaume rijali hajawahi kuridhishwa na mwanamke mmoja: Ushahidi wa harakaharaka mabeberu na majogoo)
:clap2:
Baada ya kusema hayo naomba kujulishwa hivi leo ni jumangapi?:tea:
.....hahaha, mzee mwenzangu ume 'kategorelaizi' kabisa? Nice one...
Ila, na doubt kama ina generalize vyema and 'fairly' hayo makundi.
....Mbu still believes uwongo ktk mapenzi ni mwiko. Ni bora mtu akawa mkweli, then akaeleweka 'madhaifu' yake....kuliko kudanganya jambo lililo na ukweli dhahiri.
BTW, leo ni X-mas wallah....kesho Boxing day...haki ya nani aisee sikudanganyi!
kama nilivokudanganya am virgin ,nakulove ...ukafurahiiiKama madhara ya kusema ukweli ni makubwa kuliko kusema uongo, we danganya tu! Ila usikamatwe.
kama nilivokudanganya am virgin ,nakulove ...ukafurahiii
but mimi ni mkweli daima...sipendi kudanganya...ila nadanganyika maskini mimi
hivi tuliongea nini?We nidanganyedanganye tu......ila nisikukamate
najua ni uongo ndo maana najua naganganyika...kwani wanapata faida ganijifunze kudanganya,ili 'mdanganyane'
loh. .
Labda niombe ufafanuzi, kudanganya hapa inahusisha hata kusaliti penzi, au ule uongo wa maneno tu?
Kwa wengine uongo ni kipaji hawawezi ishi bila kudanganya yaani uongo ndo unawaweka mjini..
Sidhani kama nimekuelewa,sijui unazungumzia kudanganya kupi?Mlio tayari kwenye mahusiano au uongo ule wa mwanzo wakati wa kuambiana kuwa "nakupenda"?
Kila mtu, at some point, anadanganya kwa malengo tofauti.
najua ni uongo ndo maana najua naganganyika...kwani wanapata faida gani
....wa maneno bana. Mfano wamwambia mamsap natoka kidogo, narudi sasa hivi....7pm hiyo, halafu unarudi hme 4am....
Tena ukiulizwa mbona hata simu hukupokea, wadai 'uliisahau' kwa gari
.........
I agree bana, ila ule "white lie" kha? Unamuuliza mke ushafika home, anakujibu ....tena amejilaza anaumwa kichwa. Anazima na simu.
Ukifika hme waambiwa hajarudi tangu Asubuhi!
Kama madhara ya kusema ukweli ni makubwa kuliko kusema uongo, we danganya tu! Ila usikamatwe.
kudanganya kupo aina kadhaa
kudanganya ili aepushe shari
kudanganya ili kunogesha penzi
kudanganya kwa sababu ni silika lake
kudanganya kwa sababu kakudharau,anakuchukulia kama mtoto,atakudanganya na yataisha
usiombe kuwa na mpenzi ambaye kudanganya ndo silika yake, ujuta!