Kudanga ilikuwa zamani

Kudanga ilikuwa zamani

Niambie nifenye Nini ili wadangaji wawe wananisumbua Kila siku maana huku niliko Niko mwenyewe sioni hata wa kunisumbua walioko kwenye visaloon wanajibeba Sana Kama watoto wa vigogo
Huna pesa akutake nani sasa???
 
Back
Top Bottom