MKL
Senior Member
- Mar 2, 2012
- 126
- 77
Maonesho ya saba ya vyuo vikuu yatafanyika kuanzia tarehe 18 hadi 20 mwezi Aprili mwaka 2012 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Upanga Dar es Salaam. Mgeni rasmi atakuwa Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr. Mohamed Gharib Bilali. Maonesho yatakuwa yanafunguliwa saa tatu kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili jioni kila siku.
Hakuna kiingilio kwa watakaotembelea maonesho haya........
mliomaliza form six na mnatafuta vyuo hii ni nafasi pekee kumaliza kila kitu ndani ya dakika chache sana mlemle Diamond Jubilee
kwa roho saafi tuu tafadhali gongeaneni habari hii kwa washikaji wooooote
ASANTENI: Habari hii haihitaji chanzo tafadhali Niepusheni na swali hilo tafadhali.....
siku njema............
mliomaliza form six na mnatafuta vyuo hii ni nafasi pekee kumaliza kila kitu ndani ya dakika chache sana mlemle Diamond Jubilee
kwa roho saafi tuu tafadhali gongeaneni habari hii kwa washikaji wooooote
ASANTENI: Habari hii haihitaji chanzo tafadhali Niepusheni na swali hilo tafadhali.....
siku njema............