Kuchoma choma kubaya, sijui nifanyaje

Kuchoma choma kubaya, sijui nifanyaje

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2011
Posts
303
Reaction score
154
Wakati nasoma Digrii ya kwanza miaka michache iliyopita, nilikuwa na mpenzi akisoma certificate. Tumefanya nae mapenzi sana hadi nikamaliza chuo.

Nilipomaliza chuo nikaajiriwa mikoani na kisha nikaoa mwanamke mwingine.

Kwa kitengo nilichopo, kila mwezi lazima nifike Dsm ambapo ndipo zilipo ofisi zetu kuu.

Siku zote ambazo nimekuwa nikija Dsm, nimekua nikifikia kwa mpenzi wangu huyu na tukiendeleza mapenzi, ingawa mimi nina mke.

Sasa, juzi nimepata mshtuko. Nimefika nyumbani, mke wangu akaniambia "shemeji yako (kaka yake mke wangu) amepata mchumba na anategemea kufunga ndoa hivi karibuni. Wakati akinipa habari hizo, kwa bashasha akawa ananionyesha picha alizotumiwa whatsapp. Kuangalia, ni yule yule mpenzi wangu tangu nikiwa chuo.

Ingawa aliwahi kuniambia kuwa, kuna mtu anataka kumuona, sikujishughulisha kuulizia details zake ama kumjua kwa sura.

Nimejisikia vibaya sana, maana nitakuwa nimeshea mwanamke mmoja na shemeji yangu. Ila nimeongea nae kila kitu huyo mpenzi wangu. Nimemueleza isitokee akaonesha kunifahamu.

Nimeona niyamwage hapa, labda nitakuwa nimeutua mzigo.
 
Huja solve, mta endelea kulana tu!
Mwambie kakaako ukweli kuwa huyo aliwahi kuwa mkeo wa chuo aamue kusuka au kunyoa. Ila jitahidi usimwambie kama una cheat nae hadi sasa! Save your brother.
 
Huja solve, mta endelea kulana tu!
Mwambie kakaako ukweli kuwa huyo aliwahi kuwa mkeo wa chuo aamue kusuka au kunyoa. Ila jitahidi usimwambie kama una cheat nae hadi sasa! Save your brother.
wanawake huwajui! uyo mwanamke ye anaona ni sawa tu hakuna tatizo! kuolewa na uyo jamaa hali shemeji yake ametoka nae lakini huyo bwana akilogwa akamwambia uyo bwa-she ametembea na mke mtarajiwa basi ujue hata yeye hamna ndoa apo uyu mwanamke ataambiwa na jamaa yake kwann amegairi kumuoa na yeye kila kitu kitakuwa hadharani na ndoa ya jamaa huenda ukavunjika
 
Bado naona Man-Fongo theory itaendelea kutumika huna dhamira na utayari wowote wa kuonyesha haupo tayari kuendelea kuchoma choma na kutoboa toboa.
 
Hili jambo dogo sana,ongea na huyo mpenzi wako akae kimya na wewe kaa kimya maisha yaendelee,kusema sema ndo kutengeneza vitu vijulikane,kweni wakati mnafanya mapenzi mlifanyia hadharani?si mlikua mnajificha ndani?sasa kwa usili huo huo kaeni hvyo hvyo kimya na msionyeshe kufahamiana wala msije mkaingia tamaa tena ya kukutana,kila mtu akae na pepo lake la ngono litawapeni wapenzi wengine muendelee kuchepuka hivyo hivyo!
 
Mkiamua kwa dhati mnaweza kuacha, hasa ww ambae mara nyingi husafiri na kumtafuta ke kwa mujibu wa maelezo yako. Vinginevyo upo uwezekano mkubwa sana wa kufumaniwa endapo mtaendelea na uzinzi~mind you, suala hili litakulea matatizo makubwa sana ikiwa mtaendeleza mchezo wenu mbaya
 
Hii chai naona imetiwa ndimu asubuhi asubuhi hainyweki kabisa
 
Huja solve, mta endelea kulana tu!
Mwambie kakaako ukweli kuwa huyo aliwahi kuwa mkeo wa chuo aamue kusuka au kunyoa. Ila jitahidi usimwambie kama una cheat nae hadi sasa! Save your brother.
Siyo kakake, ni shemejie, yaani kaka wa mkewe ndiye muoaji mtarajiwa.
 
Huja solve, mta endelea kulana tu!
Mwambie kakaako ukweli kuwa huyo aliwahi kuwa mkeo wa chuo aamue kusuka au kunyoa. Ila jitahidi usimwambie kama una cheat nae hadi sasa! Save your brother.
Unataka kubomoa ndoa ya jamaa maana damu nzito kuliko maji
 
Yan ndo umesogezewa kitoweo karibu ila angalia ukishikwa c unajua cha mtu sumu?? Na akuna sir ya watu wawil
 
Wakati nasoma Digrii ya kwanza miaka michache iliyopita, nilikuwa na mpenzi akisoma certificate. Tumefanya nae mapenzi sana hadi nikamaliza chuo.

Nilipomaliza chuo nikaajiriwa mikoani na kisha nikaoa mwanamke mwingine.

Kwa kitengo nilichopo, kila mwezi lazima nifike Dsm ambapo ndipo zilipo ofisi zetu kuu.

Siku zote ambazo nimekuwa nikija Dsm, nimekua nikifikia kwa mpenzi wangu huyu na tukiendeleza mapenzi, ingawa mimi nina mke.

Sasa, juzi nimepata mshtuko. Nimefika nyumbani, mke wangu akaniambia "shemeji yako (kaka yake mke wangu) amepata mchumba na anategemea kufunga ndoa hivi karibuni. Wakati akinipa habari hizo, kwa bashasha akawa ananionyesha picha alizotumiwa whatsapp. Kuangalia, ni yule yule mpenzi wangu tangu nikiwa chuo.

Ingawa aliwahi kuniambia kuwa, kuna mtu anataka kumuona, sikujishughulisha kuulizia details zake ama kumjua kwa sura.

Nimejisikia vibaya sana, maana nitakuwa nimeshea mwanamke mmoja na shemeji yangu. Ila nimeongea nae kila kitu huyo mpenzi wangu. Nimemueleza isitokee akaonesha kunifahamu

Nimeona niyamwage hapa, labda nitakuwa nimeutua mzigo.
we mbaya !
 
Au mimi ndio sijakuelewa? Mie Sijaona Tatizo zaidi ya wewe kujitengenezea Tatizo.

Tufike sehemu tuwe watu wa kufikiria wenzetu na kuifanya Dunia hii iwe sehemu salama zaidi ya kuishi kwa kuhakikisha "peace of mind" inatamalaki.

Wewe ni mume wa mtu na unafamilia tayari. Hata ukivunjika kiuno una mtu tayari wa kukukanda na kukuunguza.

SIFA ya moyo ni tamaa, unadhani binti wa watu hatamani kuwa na familia na mtu wa kumlilia. Baada ya kupewa hizo taarifa ungeinua mikono juu na kumshukuru yeye alie juu kwa kumsaidia binti wa watu kufikia malengo yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom