Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Mchina oyeee!
Namshukuru Mungu najikubali na kujiamini nilivyo japo urembo natumia lakini maji yakipita tu nabaki kama nilivyo.
Naona Erotica anatakiwa aje umpe shule kuhusu hilo. Mjini hapa ukifanya kila kitu lazima ukazeekee kijijini maana ukianza kuzeeka utababuka na kuwa kama mti wa mpingo.