Sehemu zote tunachimba ila lazima ufanye survey ila kwa maeneo yenye miamba migumu inaweza kufika mpaka laki 150 kwa mita
Pumpu nzuri inaweza kufika mpaka ml 1.6 kwa brand za kitaliano na denmark
Mkuu mimi nakaa makongo juu hapo ccm kwangu chini si unajua maeneo ya makongo kuna miinuko.. sasa sehem ile nahitaji kuwa na shiling ngapi yaani mpaka kisima kukamilika incudng mabombana uchimbaji?? thanks,
nahitaji msaada wako mkuu....
Tete'a'ete
Sehemu zote tunachimba ila lazima ufanye survey ila kwa maeneo yenye miamba migumu inaweza kufika mpaka laki 150 kwa mita
Pumpu nzuri inaweza kufika mpaka ml 1.6 kwa brand za kitaliano na denmark
Pwani sehemu gani
Survey haiwezi kujua kama ni baridi au chumvi wala kujua kwa uhakika utapata liter ngapi labda ungesema ni eneo gani inawezekana tukapata ufumbuzi
Mjasiria Akili:
Mbona mi' nilishawatembelea hao jamaa wanaohusika na maji hiyo njia unapoelekea Chuo Kikuu - Mlimani (UDSM) kama unatoka Ubungo. Walinielekeza kwa nini wanafanya survey, pia survey inaweza kuonesha kuwa kutakuwa na maji ya chumvi au yasiyo na chumvi.
Inakuwaje wewe unasema hivyo tena mkuu?
Je bomba la mita 100 ni sh ngapi? yaani nataka nipate roughly kuchimba mita 100 na kuweka maboma mpaka pampu na nipate maji utanichaji sh ngapi mkongo juu...
Mita mia makongo juu mpaka pump yenye ubora na kila kitu kwa ml 7.5 tunakuchimbia
Vipi Kiwangwa? Nilileta hao masavea wakaniambia maji yapo mita 130. Utanichimbia kwa hela ngapi?
Pwani sehemu gani
Survey haiwezi kujua kama ni baridi au chumvi wala kujua kwa uhakika utapata liter ngapi labda ungesema ni eneo gani inawezekana tukapata ufumbuzi
Mita mia makongo juu mpaka pump yenye ubora na kila kitu kwa ml 7.5 tunakuchimbia
Mita mia makongo juu mpaka pump yenye ubora na kila kitu kwa ml 7.5 tunakuchimbia
Mkuu Mimi Nina shamba sehemu inayoitwa Masaki - Kisarawe. Vipi huko unaweza kuwa na uzoefu napo. Kwa kweli maji nayataka.