Kuchezwa na machale!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
4,393
7,039
Kama siku 5 zilizopita nilikuwa nachezwa na machale yaani jicho langu la kulia lilikuwa linanicheza kuashiria kwamba kuna balaa soon litanitokea!
Nikawa naomba mwenyezi Mungu aniepushe!

Juzi usiku nikaota nilikuwa naongea na Jamaa yangu kisha wakatokea migration tulikuwa tunaongea Kiswahili mimi nikauchuna nikajifanya sijui Kiswahili mara hao migration wakatuomba vibali vya kuishi hiyo nchi tuliyokuwepo mimi nikatoa feki na jamaa yangu akawa hana wakatukamata wote (Nchi niliyopo jina kapuni)

Sasa jana kweli kwenye mishe zangu kweli migration wakanitokea wananiomba document nikawaonyesha wakanirudishia kisha wakaondoka!
Sasa nikawa namsimulia jamaa yangu mmoja jinsi nilivyoota (sio yule wa kwenye ndoto)akaniambia unajua sometimes Mungu anaongea na sisi kupitia ndoto!

Mara leo sasa Asubuhi na mapema mara likaja likasimama gari la Migration likiwa tayari limeshambeba yule Jamaa niliyemuota kwenye ndoto na baadhi ya watanzania wengine!

Sasa kosa alilofanya Jamaa ni kunipungia mkono kuashiria kwamba tunafaamiana!

Mara paap!wazee wakaja kunidandia na mimi!

Yaani jinsi nilivyoota ikanitokea vile vile bila chenga!

Kuanzia leo sitapuuzia tena ndoto wala baadhi ya ishara ya mwili kuashiria kuna jambo baya linaninyemelea
 
Jesus, when you guys're done unloading..

pull the car out in front of the bank there.

In just a minute...

I'm going to open this here door.
 
Kama siku 5 zilizopita nilikuwa nachezwa na machale yaani jicho langu la kulia lilikuwa linanicheza kuashiria kwamba kuna balaa soon litanitokea!
Nikawa naomba mwenyezi Mungu aniepushe!

Juzi usiku nikaota nilikuwa naongea na Jamaa yangu kisha wakatokea migration tulikuwa tunaongea Kiswahili mimi nikauchuna nikajifanya sijui Kiswahili mara hao migration wakatuomba vibali vya kuishi hiyo nchi tuliyokuwepo mimi nikatoa feki na jamaa yangu akawa hana wakatukamata wote (Nchi niliyopo jina kapuni)

Sasa jana kweli kwenye mishe zangu kweli migration wakanitokea wananiomba document nikawaonyesha wakanirudishia kisha wakaondoka!
Sasa nikawa namsimulia jamaa yangu mmoja jinsi nilivyoota (sio yule wa kwenye ndoto)akaniambia unajua sometimes Mungu anaongea na sisi kupitia ndoto!

Mara leo sasa Asubuhi na mapema mara likaja likasimama gari la Migration likiwa tayari limeshambeba yule Jamaa niliyemuota kwenye ndoto na baadhi ya watanzania wengine!

Sasa kosa alilofanya Jamaa ni kunipungia mkono kuashiria kwamba tunafaamiana!

Mara paap!wazee wakaja kunidandia na mimi!

Yaani jinsi nilivyoota ikanitokea vile vile bila chenga!

Kuanzia leo sitapuuzia tena ndoto wala baadhi ya ishara ya mwili kuashiria kuna jambo baya linaninyemelea

Mkuu utakua upo Mozambique
 
Kama siku 5 zilizopita nilikuwa nachezwa na machale yaani jicho langu la kulia lilikuwa linanicheza kuashiria kwamba kuna balaa soon litanitokea!
Nikawa naomba mwenyezi Mungu aniepushe!

Juzi usiku nikaota nilikuwa naongea na Jamaa yangu kisha wakatokea migration tulikuwa tunaongea Kiswahili mimi nikauchuna nikajifanya sijui Kiswahili mara hao migration wakatuomba vibali vya kuishi hiyo nchi tuliyokuwepo mimi nikatoa feki na jamaa yangu akawa hana wakatukamata wote (Nchi niliyopo jina kapuni)

Sasa jana kweli kwenye mishe zangu kweli migration wakanitokea wananiomba document nikawaonyesha wakanirudishia kisha wakaondoka!
Sasa nikawa namsimulia jamaa yangu mmoja jinsi nilivyoota (sio yule wa kwenye ndoto)akaniambia unajua sometimes Mungu anaongea na sisi kupitia ndoto!

Mara leo sasa Asubuhi na mapema mara likaja likasimama gari la Migration likiwa tayari limeshambeba yule Jamaa niliyemuota kwenye ndoto na baadhi ya watanzania wengine!

Sasa kosa alilofanya Jamaa ni kunipungia mkono kuashiria kwamba tunafaamiana!

Mara paap!wazee wakaja kunidandia na mimi!

Yaani jinsi nilivyoota ikanitokea vile vile bila chenga!

Kuanzia leo sitapuuzia tena ndoto wala baadhi ya ishara ya mwili kuashiria kuna jambo baya linaninyemelea
Hii itakuwa ni ndoto ya kishetani maana haueleweki kwa kuchanganya mambo. Hao jamaa waliokukamata na migration wanahusiana nini, dogo haueleweki?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom