Kuchepuka raha

nimependa hapo pa kuagiza soda.
teh teh
 
mna vituko jamani humu? ila I like it
 
Teh afu bado wanategemea wake zao wawe waaminifu
Kuna baba alichepuka mtaa wanaoishi hadi watoto wakajua, watoto wakamdharau sana baba yao na kuwa karibu mno na mama yao.

First born akapata ujauzito akiwa form two, baba alipanik akataka kumpiga mtoto na kumlaumu kuwa anamchafulia jina kwa umalaya wake, mtoto mbele ya walimu akamjibu baba yake "umalaya nimerithi kwako".
 
Khaa ahsante sana. Em tuwaombeage watoto wetu wasirithi matabia yetu ya hovyo, Mungu awaepushe na laana zetu
 
Ahakikishe anafumuliwa na malinda! Siku akirudi kwa mumewe awe ameshafanya ushetani wote
 
Nkujifarij tu lakin anaumia
Anajifariji tu labda mumewe atakuja jf asome huo upuuzi wake amuumize kiaina. Heshima ya mwanamke hupotea pale anapoanza mahusiano nje ya ndoa. Anaanza kudharaulika na huyo bwana anaechepuka nae na kisha jamii nzima itakuja kumdharau. Hata watoto wake wakijua watamdharau. Hata yeye akili ikimrudia atajidharau sana. Maisha ya kuishi kwa kujutia makosa uliyotenda yanaumiza sana moyo. Lazima mwanamke afikiri mara mbili kabla hujaanza kutoka nje ya ndoa yake
 
Khaa ahsante sana. Em tuwaombeage watoto wetu wasirithi matabia yetu ya hovyo, Mungu awaepushe na laana zetu
Yule baba alikuwa malaya acha tu, yaani alivuruga kweli, mbaya zaidi hadi watoto wanajua, yule mama alikuwa wa kulia tu. Ila kuna aibu alikuja kuipata hadi kazini kidogo afukuzwe kazi, alinywea na adabu zikamrudi, japo ndio uzeeni. Too late, damage was allready there.
 
Lazima ikupe hio..... Double standard ni chungu sana kumeza.
 
Hivi wanaume hawajutiagi wakichepuka? Nyie mnafikiriaga kabla ya kutoka nje ya ndoa? Yani mimi jamani navyowadharau wanaume wanaochepuka huwa nawarushia na Mawe. Yani wananitia kinyaa ptuuuu
 
Alifanyaje tena? Mwana kuyatafuta mwana kuyapata. Mtoto gani atakayemuheshimu mzazi anayehangaika na ufuska?
 
Eti unasema!! Na mwanaume anaechepuka anaheshimika eeh!!
 
kwa mtindo huo..acha nisioe tu..na kamwe sitokuja kuoa.
Wewe oa....mimi nimeolewa na sina ht wazo la kuchepuka...uchepukaji na umalaya ni tabia ya mtu..ss km sikuwahi kuhangaika huko nyuma ss hivi nitafute nini...ss hivi kwangu its all bout
God
Family
Work

Hata usiogope waliotulia wapo
 
Hata wanawake hupata aibu kwa jamii hunyooshewa vidole kwasana ana mke mzuri kinachompeleka huko nje nini, na wengine hata michepuko huwacheka wake wa michepuko yao naweza katiza sehemu ukasikia kicheko mtu anajitizama au nipo uchi kumbe mchepuko wa mmewe umewasimulia wenzie mmewe si chochote nakula hela zake tu dawa ni wote kuacha kuchepuka ili heshima iwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…