Kuchepuka ni asili yetu

Kuchepuka ni asili yetu

bitebo7

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2015
Posts
858
Reaction score
601
Asalam Jamii,

Iko ivi unakuta mtu anahitaji kitu tena kwa viapo "ooooh jamani mimi nikimpata fulani apo ndio mwisho wangu yaani nitatulia yani brabra nyingi. Ila sasa akimpata wiki tu ataanza vijimaneno "oooh mtu mwenyewe yupo hivi mara kafanya vile, mara yupo ivi yaani ili mradi tu atafute pakutokea" Nilichogundua ni kwamba sisi binaadamu haturiziki hata iweje

Sisi wanaume hata tuwe namsichana mzuri kiasi gani lazima tutatamani kutoka nje tu na kina dada hata uwafanyie nini kazi bure tu ukiwa na kibamia tatizo ukiwa umejaliwa tatizo, ukiwa tajiri tatizo na ukiwa maskini ndio kabisa #ukitaka cha pekeako chuma mgomba uweke ndani #tuvumiliane tu na kuheshimiana ila kuchepuka hakuna tiba.
 
Hata chakula haiwezekani kula cha aina moja kila siku
 
mmmmm,mbona wengine tumeridhika na mmoja,sio wote wanao chepuka ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom