The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
haikuwa takrima ila posho za wajumbeSerikali ya chama cha mapinduzi (ccm) lipeni mishahara kwa wakati,msifanye tuamini kuwa ndiyoiliyotumika kama takrima UVCCM,UWT na JUMUIYA YA WAZAZI
Mtumishi yeyote wa Umma ni mwajiriwa wa serikali ya Chama tawala. Au huna taarifa kwamba kwenye kila ofisi ya serikali kuna Ilani ya CCM kwa ajili ya kuitekeleza?kwani mwajiliwa wa CCM?
Miye Bosi wangu ni dini nyingine hawezi kunipa mshahara wala posho ila ingekuwa ile sikukuu nyingine angenipa tena mapema tu, ujanja nilioufanya nimebakiza baadhi ya vihela vyangu ili nile ubwabwa mchafu 'Chakula cha Peponi'.
Heri yangu mie sijawahi kuhiamini ccm na kuipatia kura. Ndugu zangu watz wengine wanasema eti siasa si chuki, lakini tulikofikia hapa inatubidi kuwachukia wale wote wanaoshabikia chama hiki tena hadharani, na hii itakuwa ishara tosha kwao kujitambua kuwa sasa hawapendeki. Mimi jana nimemfukuza jamaa mmoja kwangu kisa kaja kwangu kuangalia mechi ya man. na arsenal akiwa ametinga vazi la ccm. Haiwezekani kukaa na mtu wa ccm kwangu tukacheka wakati watoto wangu hawana uhakika wa kunywa chai yenye sukari.