blackb
Member
- Mar 30, 2017
- 99
- 113
Samahani ndugu zangu, kuna hili swala linanichanganya sana.
Mimi nimekuwa na kawaida ya kufanya mapenzi mara kadhaa kama ilivyo kawaida ya mwanaume, lazima upizi ili tendo ulifurahie.
Tatizo langu ni kuchelewa kupiga bao yaani kipindi natafuta bao la kwanza huwa nafanya kwa muda wa kati ya dakika 20-36, na bado sipizi inanibidi nipumzike napumzika baada ya dakika 10 napanda tena dakika kat ya 10-19 ndo naweza kupizi.
Ushauri naomba, je hili sio tatizo kweli maana napumzika sio kama napenda ni uume unalala wenyewe.
Na uume wangu ni nchi 8 na niliwahi kuwa mwanachama hai wa chaputa msema kweli mpenzi mwana wa Mungu.
Tatizo ni nini jamani?
Mimi nimekuwa na kawaida ya kufanya mapenzi mara kadhaa kama ilivyo kawaida ya mwanaume, lazima upizi ili tendo ulifurahie.
Tatizo langu ni kuchelewa kupiga bao yaani kipindi natafuta bao la kwanza huwa nafanya kwa muda wa kati ya dakika 20-36, na bado sipizi inanibidi nipumzike napumzika baada ya dakika 10 napanda tena dakika kat ya 10-19 ndo naweza kupizi.
Ushauri naomba, je hili sio tatizo kweli maana napumzika sio kama napenda ni uume unalala wenyewe.
Na uume wangu ni nchi 8 na niliwahi kuwa mwanachama hai wa chaputa msema kweli mpenzi mwana wa Mungu.
Tatizo ni nini jamani?