Hongera sana!Ndyo mkubwa
Watoto acheni kuvamia mambo ya mapenzi wakati hujaanza hata shule..Shikamoni wakubwa mi ni mvulana wa umri wa miaka 19 tatizo linaloniumiza kichwa ni wakati wa tendo la ngono nachelewa sana kufika na wakati mwingne sifiki kabisa kwa sababu mwenzangu anakuwa kachoka ushauri wa kitaalamu tafadhali
Pole sana mdogo wangu, huo ndio umri ambao watu waliofikisha 40s husimuliana walivokuwa wanapiga idadi kubwa ya vikombe vya kahawa ndani ya lisaa limoja.Shikamoni wakubwa mi ni mvulana wa umri wa miaka 19 tatizo linaloniumiza kichwa ni wakati wa tendo la ngono nachelewa sana kufika na wakati mwingne sifiki kabisa kwa sababu mwenzangu anakuwa kachoka ushauri wa kitaalamu tafadhali
Hadi Sasa nasoma Ila Jua huu niujana haukwepekiWatoto acheni kuvamia mambo ya mapenzi wakati hujaanza hata shule..
Umri wako ulitakiwa kukimbizana na kuchelewa kulala ili ujifunze maarifa shuleni ...,ili uje ufute uchafu uliofanywa na Baba zako ccm miaka zaidi ya 30 sasa ...