Siku hizi Harus zimekuwa sehemu,ya kujuana,kufahamiana,kupunguza ma stress,kupunguza ma pressure n.k.Ndo maana watu wanashadadia ma cherekochereko.Bt shule kwa wengi hawana hata chembe ya mwamko hii ni kutokana na baadhi ya wanaf.wakishajua anachangiwa ndo bidii ni F.hazimuumi as if zinaokotwa.Nina mf.wa wanaf.wanalipiwa na SHDEPHA yaani hata uniform huwa wanalazishwa kwenda kuchukua kwenye ofis zao,darasani ni tabulalasa.C bora nizigonge hata Serengeti ya Bariiiiidii.