Kucha inaniathiri mwaka wa tatu

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Wanajamvi,

Nina kucha ambayo imeota nisivyotarajia kwenye kidole cha mguu inaniumiza, imegeuka mwiba kwenye mwili wangu mwaka wa tatu sasa je niing'oe ?

Msaada
 
Wew

Wewe umezaliwa bila kucha ? Ilianza kukua vema ghafla imepinda bila kutarajia imegeuga mwiba mchungu kwenye nyama za kidole maumivu yananiuma kuniudhi na kunitia hasira ni sehemu ya mwili !

Pole sana, wahi kwa daktari..
 
upload_2018-5-30_8-7-27.jpeg

Hiyo inaitwa Ingrown nail mara nyingi hutokea kwenye kidole gumba cha mguu (ingrown toenail) kutokana na ukataji kucha usio sahihi......nenda Hospital inafanyika procedure hapo under anesthesia mambo yanaenda poa kabisa
 
Wanajamvi,

Nina kucha ambayo imeota nisivyotarajia kwenye kidole cha mguu inaniumiza, imegeuka mwiba kwenye mwili wangu mwaka wa tatu sasa je niing'oe ?

Msaada
Hiyo kitu
View attachment 789626
Hiyo inaitwa Ingrown nail mara nyingi hutokea kwenye kidole gumba cha mguu (ingrown toenail) kutokana na ukataji kucha usio sahihi......nenda Hospital inafanyika procedure hapo under anesthesia mambo yanaenda poa kabisa
Umeeleza vema, afuate maelezo yako. Hata mie iliwahi kunitokea nikafanyiwa "procedure" hiyo mara 2. Mara ya kwanza, baadae iliota tena vibaya. Nikarudi kwa dokta wangu akafanya mara ya pili na ndiyo ikawa mwisho wa tatizo.
 
Back
Top Bottom