HASIDIMLALEO
Member
- Oct 1, 2017
- 8
- 6
Kubugi maanake nini? Mfano, fulani amebugi kwenye swala fulani.
KumbwelaKubugi maanake nini? Mfano, fulani amebugi kwenye swala fulani.
Hah hah hahaa c ndo unazidi kumchanganya zaidii MKUU, msamiati juu ya msamiatiKumbwela
kubugi = kushindwa/kukosea/kufeli n. kKubugi maanake nini? Mfano, fulani amebugi kwenye swala fulani.