Kubomoa Naura Spring Hotel ni komoakomoa sio bomoabomoa

Hili la kusema ile hoteli ni ya Pinda sijawahi kulithibitisha kabisa
Wala sio Mizengo wa watu unamwonea bure ,ngurdoto na Naura springs Mkapa anahusika ,hapa nyuma ya jengo la ppf kaloleni hizo apartments za Mkapa pia
 
Naura spring kiwanja kilinunuliwa kutoka ccm Arusha ndio walikuwa wamiliki.sasa dawa yake ni mmiliki Wa Naura hotel .awadai ccm hela zake za kiwanja na jengo kwa kumuzia eneo feki.Na pili Mwenye jengo ni kada Wa ccm Wa damu.
 
Wala sio Mizengo wa watu unamwonea bure ,ngurdoto na Naura springs Mkapa anahusika ,hapa nyuma ya jengo la ppf kaloleni hizo apartments za Mkapa pia
Niliwahi kusikia ni la Museven..basi zote hizi zitakuwa story za vijiweni tu
 
Jamaa ana HATI na kibali cha ujenzi? Je wakati wanatoa HATI hawakujua kama hapo ni bondeni?/ Je hizo gharama za ujenzi nani atazilipa?
Na mbaya zaidi kiwanja kilinunuliwa kutoka ccm Arusha .ccm ndio wamemuuzia Naura Spring
 
Naura spring kiwanja kilinunuliwa kutoka ccm Arusha ndio walikuwa wamiliki.sasa dawa yake ni mmiliki Wa Naura hotel .awadai ccm hela zake za kiwanja na jengo kwa kumuzia eneo feki.Na pili Mwenye jengo ni kada Wa ccm Wa damu.
Hii hoteli inasifika kwa kuajiri wakenya sasa lazima kilio cha makamuzi ya jipu kisikike
 
Niliwahi kusikia ni la Museven..basi zote hizi zitakuwa story za vijiweni tu
Huenda ni story za vijiweni ila inategemea na kijiwe chenyewe kuna kijiwe flani kariakoo wale wanywa kahawa wana mambo sana kijiwe chenyewe marehemu Ditopile alikua anapapenda sana
 
Kwa jinsi Tanzania ilivyo kwa sasa, mtu anaweza kupata kibali cha ujenzi kwa kuhonga wala hiyo sio shida.Na kama alipata kibali kwa mgongo wa nyuma,hastahili compensation yeyote,kwa kuwa kufanya hivyo itakuwa ni ku-reward uovu.Hili litakuwa fundisho baya kwa wengine.

Swala la kwani hawakuona ujenzi ukiendelea halina msingi wowote,the bottomline is kosa limefanyika.Lini nachukua hatua huwezi kunipangia and is none of your business.

Watanzania inabidi tuwe serious,hatuwezi kuendelea kuvunja sheria halafu tutegemee kuhurumiwa.Jawabu ni kutovunja sheria.Tumekuwa yahe yahe mno.
Jamaa ana HATI na kibali cha ujenzi? Je wakati wanatoa HATI hawakujua kama hapo ni bondeni?/ Je hizo gharama za ujenzi nani atazilipa?
 
Hii bomoa bomoa kama inafuata sheria bila uonevu, basi jengo la TRA lililoko karibu na BOT lingestahili lianze kubomolewa kabla ya hili la Hotel ya Naura maana lenyewe limajengwa mtoni kabisa.
 
Usipotoshe umma ...hayo yote yapo umbali stahiki kutoka mtoni...hata ilipojengwa NSSF sio umbali sawa na ule ilipokuwepo 'matongee'

Wewe uko Arusha kweli? Nenda pale kwa RPC uone imepakana na mito mingapi halafu urudi hapa. TRA waliwahi kunyimwa kibali na Halamashauri ya Jiji lakini wakalizimishwa kupima kiwanja kipya pale. Kaangalie TP drawing ya awali ya eneo hilo. Acheni ushabiki watu wamekeza na wengine serikali imewadhamini kukopa kwenye benki za nje kwa miradi hiyo. Hatukubali serikali ilipe fidia kwa uzembe wa wala rushwa wake.
 
Kama Naura imeingilia kwenye uelekeo wa mto au sehemu hisiyo stahili itabomolewa kama wanavyo bomolewa wengine na Kama jengo la Ccm limejengwa sehemu isiyo stahili basi itabomolewa...! Msihusishe hili jambo na siasa..! Watendaji wanafanya kazi kwa weledi mkubwa....


Mleta mada anadai kuwa Manispaa ilishawahi kuzuia nyuma lakini wakashindwa kesi mahakamani.

Kisheria sidhani kama wana mamlaka hayo ikichukulia kwamba Mmiliki amejenga pale kisheria. Hiyo kesi itabidi irudi tena mahakamani!!
 
Kwa mfano TRA, Ofisi ya ya RPC Arusha na Central Police Station, CEDHA, NSSF House iliyoko eneo la zamani la Matongee n.k.

Mimi nafikiri hapo cha msingi ni kuzingatia sheria inasemaje kuhusiana na shughuli zozote za kibinadamu kando kando ya mto ndani ya Mita 60.
 
Nyie wenyewe ndio mnahusisha hili zoezi na siasa! Kama watu wamejenga sehemu ambazo haziruhusiwi sheria ifate mkondo! Hata watu wa mkwajuni na bonde la msimbazi wamebomolewa ..wala si Naura pekee!

Hata wamkwajuni nao wanasema walipata vibali!
Costs/ benefits analysis ndiyo inafaa itumike, vinginevyo itakuwa nchi ya majuha
 
Naura Springs imejengwa kwenye mto Goliondoi na ukitaka kujua athari za ujenzi huo kaangalie flow ya maji ya mto Goliondoi ilivyopungua
Yahi ukipita pale hata ukiangalia kwa macho tuu utaona kabisa ni wazi wamejenga kwenye mto..
 
Mtoa mada embu ongea ukweli acha kupotosha, hiyo hoteli imewekwa X kwa kujengwa karibu na mto na wala si bondeni kama unavopotosha hapa
 
Maskini Mzee Mrema... Washkaji zangu Bill na Mali poleni sana aiseee..

Bado Ngurdoto.. Nako lazima Mzee watamtia fitna.. Na pale nyumbani Sanawari watasema zilikuwa nyumba za serikali yeye mfanyabiashara alinunuaje nyumba hapo...
 
Costs/ benefits analysis ndiyo inafaa itumike, vinginevyo itakuwa nchi ya majuha
Hatuhitaji kufanya costs benefits analysis tunapo tekeleza sheria kwa wavunja sheria..tukifanya hivyo basi sheria zitaendelea kuvunjwa...!
 
KWa kiasi fulani nakumbuka mgogoro alioingia huyu mmiliki wa Naura Spring na serikali wakati wa ujenzi wa jengo hili, jamaa alishinda kesi mahakamani akaendelea na ujenzi hivyo inaonyesha huyu si mvamizi! Sasa hapa serikali isipotumia akili zake timamu itaingia kwenye kingi kirahisi sana.. Hili zoezi la bomoaboma lifanyike tukiweka busara zetu mbele sana!
Hivi unajua Naura spring ilipo? umepita pale na kujionea?
 
Maskini Mzee Mrema... Washkaji zangu Bill na Mali poleni sana aiseee..

Bado Ngurdoto.. Nako lazima Mzee watamtia fitna.. Na pale nyumbani Sanawari watasema zilikuwa nyumba za serikali yeye mfanyabiashara alinunuaje nyumba hapo...
Teh teh pole sana hivi michelle bado yupo Australia ??
 
Naura haiko bondeni bali iko ndani ya mita 60 toka mto sanawari
 
Kwani ni la mrema au ni zuga tu ,mwenyewe ni kigogo mkubwa tu aliyestaafu
teh teh teh achaneni na story za vijiweni...

Mnasema ni la Mkapa, sasa jiulize Magufuli angekubali Mkapa abomolewe..

Wengine wanasema na Museven, teh teh story za kwenye kahawa hizo mkuu...
 
Back
Top Bottom