Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,370
Wasalaam Wakuu,
Aisee naomba niende kwenye mada husika moja kwa moja juu ya wanawake kujibinua makalio yao wakiwa kwenye Bodaboda hasa hapa jiji la Joto- Darusalama
Hii imekuwa ni kama fashion kwa kila mwanamke,hawezi kukaa kwa kunyooka bila sawasawa ila mpaka abinue kiuno chake na kalio lake lionekane vzr
Jamani Leo ilibaki kidogo nipate ajali ya Bodaboda kunipita ikiwa imebeba mwanamke alie binua makalio yake vzr na kunifanya nipoteze concentration barabarani kwa kuyatolea macho Yale makalio yake
Effect za kututamanisha yale makalio yenu makubwa ni mbaya sana,inafikia hatua mtu unatamani kuwa na tabia za UMende,kusababisha ajali zisizo za lazima,pia kutuchelewesha katika harakati zetu baada ya juzi kunitokea tena tukio la mwanamke kubinua makalio yake kwenye Bodaboda,na nikatokea kuyatamani yale makalio yake, ikabidi nifuatilie ile Bodaboda kutoka Kariakoo mpk Mbagala ili tu nipate mawasiliano ya yule Dada
Naomba serikali na jamii kwa ujumla iingilie kati jambo hili kwa kulikemea hasa juu ya hii tabia kwani wanawake wameona udhaifu wetu mkubwa ni hayo makalio yao ila tukiwaomba mtandao pendwa Wa Tigo wanakuwa wakali wakati mm nilikupendea hayo makalio yao
Naomba kuwasilisha Tafadhali!
Aisee naomba niende kwenye mada husika moja kwa moja juu ya wanawake kujibinua makalio yao wakiwa kwenye Bodaboda hasa hapa jiji la Joto- Darusalama
Hii imekuwa ni kama fashion kwa kila mwanamke,hawezi kukaa kwa kunyooka bila sawasawa ila mpaka abinue kiuno chake na kalio lake lionekane vzr
Jamani Leo ilibaki kidogo nipate ajali ya Bodaboda kunipita ikiwa imebeba mwanamke alie binua makalio yake vzr na kunifanya nipoteze concentration barabarani kwa kuyatolea macho Yale makalio yake
Effect za kututamanisha yale makalio yenu makubwa ni mbaya sana,inafikia hatua mtu unatamani kuwa na tabia za UMende,kusababisha ajali zisizo za lazima,pia kutuchelewesha katika harakati zetu baada ya juzi kunitokea tena tukio la mwanamke kubinua makalio yake kwenye Bodaboda,na nikatokea kuyatamani yale makalio yake, ikabidi nifuatilie ile Bodaboda kutoka Kariakoo mpk Mbagala ili tu nipate mawasiliano ya yule Dada
Naomba serikali na jamii kwa ujumla iingilie kati jambo hili kwa kulikemea hasa juu ya hii tabia kwani wanawake wameona udhaifu wetu mkubwa ni hayo makalio yao ila tukiwaomba mtandao pendwa Wa Tigo wanakuwa wakali wakati mm nilikupendea hayo makalio yao
Naomba kuwasilisha Tafadhali!