geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Wana jamvi...si utani ninamiss Kubenea na gazeti lake la Mwanahalisi...sijui atafunguliwa lini.... Kama kuna mtu yupo karibu na waziri ampelekee ujumbe kuwa kuwa Wa TZ wanashindwa kuendelea na maisha yao kwa sababu ya kotosikia au kupata habari za gazeti hili