Kwanza TV
Member
- May 2, 2017
- 33
- 69
Leo mbunge wa Ubungo (CHADEMA) Saed Kubenea alikuwa na mkutano na waandishi wa habari na ameeleza kuwa hana mpango wa kukihama chama chake cha Chadema na kwamba hana bei bali kinachoendelea ni propaganda za CCM ili wasiulizwe maswali magumu.
Katika kujenga hoja, Kubenea ameainisha mapato ya mbunge na amehoji je mtu anaweza kuachia nafasi kama hii kirahisirahisi?
Hebu msikilize:
Katika kujenga hoja, Kubenea ameainisha mapato ya mbunge na amehoji je mtu anaweza kuachia nafasi kama hii kirahisirahisi?
Hebu msikilize: