Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Bashite ni nani?? Watasema wakichoka watalala!!

2020 kuna baadhi ya Wabunge hawatarudi Bungeni kwa sababu wameacha kufanya mambo ya msingi kuhusu majimbo yao wamebaki na habari za Gwajima na Mange!
 
Bashite ni nani?? Watasema wakichoka watalala!!

2020 kuna baadhi ya Wabunge hawatarudi Bungeni kwa sababu wameacha kufanya mambo ya msingi kuhusu majimbo yao wamebaki na habari za Gwajima na Mange!
Ila tangu waanze kulisema suala Bashite, sion dalili za kuchoka. Watu bado wamekomaa nae tu.


Huu msemo unahitaji marekebisho

"Watasema wakichoka watalala"
 
CCM wamemuweka Bashite Kama Sacrifical lamb kuwapotezea Muda Wanasiasa , Mijadala Mingi ya Msingi imekosa mvuto kwa kuwa wote wapo na Bashite!

Bunge la Bajeti linaendelea badala ya kuibana Serikal kuhusu utekelezaji wa Bajeti iliyopita wao wamekazania ya Bashite!

Wanasiasa wetu wa Upinzani huwa wanacheza ngoma zinazopigwa na CCM kwa Ujinga wao bila ya kujijua
 
Back
Top Bottom