Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Mbunge machachari wa Ubungo Said Kubenea ameibua ufisadi wa bilioni 1.2 ambazo hutumika kwa ajili ya kufua majoho ya madiwani ktk Halmashauri za jiji.

========================

MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea ameibua ufisadi wa Shilingi bil. 1.2 kwa mwaka katika Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam unaofanywa kupitia ufuaji wa majoho ya madiwani.

Kubenea amesema hayo Stendi Kuu ya mabasi yaendayo mikoani alipofanya ziara ya siku moja kutembelea soko la Urafiki maarufu kama Mahakama ya ndizi, soko la Mabibo na kuhitimisha ziara yake katika Stendi za Ubungo na Simu 2000

"Baada ya kufanya uchunguzi tumebaini kuwa mradi huo wa ufuaji majoho kabla ya madiwani kufanya kikao unaotumia shilingi bilioni 1.2 hivyo basi Halmashauri ya Manispaa itakayokuwa chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) tukianza kazi tutaufuta," alisema Kubenea.

Aliongeza kuwa kufutwa kwa mradi huo kutafanywa mara moja baada ya Ukawa kupata Meya wa Manispaa na Jiji kutokana na ukweli kwamba wana Halmashauri mbili kati ya tatu hivyo zitawawezesha kumpata Naibu Meya katika Chama Cha Wananchi (CUF) na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Kubenea alisema jambo jingine ambalo watakalolisimamia ni kuhakikisha wanaondoa Mahakama ya jiji kwa sababu wamegundua hakuna mahali popote katika bara la Afrika.

"Mahakama hiyo ni ya kikoloni kwani hakuna mahali popote katika bara la Afrika ambako ipo zaidi ya Tanzania kwenye jiji la Dar es Salaam, hivyo ili kuwaokoa mama lishe, madereva bodaboda, machinga ni lazima tuhakikishe Mahakama hiyo tunaifuta," alisema Kubenea.

Mbunge huyo alisema wamedhamiria kwenda kufuta zuio madereva wa bodaboda kuingia mjini lililokuwa limewekwa chini ya aliyekuwa Meya wa jiji, Dk. Didas Masaburi ili kuwawezesha vijana hao kufikia katika mji huo.

Chanzo: Magazetini
 
An interview is meant to be a two-way street.

The responsible manager is interviewing you to determine whether you're the best fit for the job. At the same time, you should be asking questions to determine whether you would be happy in the position or with the company.

But once nerves take over, it's easy to forget your role. After all, you're meeting on the employer's schedule in an unfamiliar office. After listening to the interviewer's monologue about the company and role, you're asked a barrage of questions about your background and future plans " all the while praying that you're delivering the "right" answers.

By the time the employer asks if you have any questions, it's easy to be so drained and nervous you can only stammer out, "Nope."

Not asking questions, however, is passing up a chance to stand out from the competition.

"This is a great opportunity to set you apart in a positive way from other people being considered for the job," "Employers say they are interested in candidates who ask quality questions and make intelligent conversation based on what they know about the organization."

Before the interview, prepare a list of questions that demonstrate your knowledge of the company and interest in the position. Some good topics to cover include:

They suggests asking:

What do you see ahead for your company in the next five years?

How do you see the future for this industry?

What do you consider to be your firm's most important assets?

What can you tell me about your new product or plans for growth?

How do you rate your competition?

The position's history
Asking about why the position is vacant can provide insight into the company and the potential for advancement.

Good questions include:What happened to the last person who held this job?

What were the major strengths and weaknesses of the last person who held this job?

What types of skills do you NOT already have onboard that you're looking to fill with a new hire?

The department
Asking about your department's workers and role in the company can help you understand more about the company's culture and hierarchy. Stanford suggests asking:

What is the overall structure of the company and how does your department fit the structure?

What are the career paths in this department?

What have been the department's successes in the last couple of years?

How do you view your group/division/department?

The job's responsibilities
To avoid any confusion later on, it pays to gain a solid understanding of the position. FGP International's Eddie Payne recommends inquiring:

What would you consider to be the most important aspects of this job?

What are the skills and attributes you value most for someone being hired for this position?

Where have successful employees previously in this position progressed to within the company?

Could you describe a typical day or week in this position? The typical client or customer I would be dealing with?

The expectations
To determine how and when you will evaluated, Payne recommend advises asking:

What are the most immediate challenges of the position that need to be addressed in the first three months?

What are the performance expectations of this position over the first 12 months?

How will I be evaluated at XYZ company, and how often?

The next steps
At the end of the interview, don't forget to ask:

What are the next steps in the interview process?

Naaaaaay
 
Mbunge machachari wa Ubungo Said Kubenea ameibua ufisadi wa bilioni 1.2 ambazo hutumika kwa ajili ya kufua majoho ya madiwani ktk Halmashauri za jiji.
Source:Mtanzania

Tatizi sio kuibua ufisadi mimi huyu jamaa aliwahi kukashifu sana lowasaa ila mwisho wa siku akaja kumsafisha mpinga ufisadi chadema ayupo tena
 
Mbunge machachari wa Ubungo Said Kubenea ameibua ufisadi wa bilioni 1.2 ambazo hutumika kwa ajili ya kufua majoho ya madiwani ktk Halmashauri za jiji.
Source:Mtanzania

Hapa ni halmashauri moja tu, lakini inamaana mnyika hakuuona huu ufisadi kweli? sasa nimeamini ukawa ni wa hovyo kuliko tunavyodhania.
 
Kawa lini mbunge machachari??!!
Kqma kweli kapiga tochi hilo chaka ni mwanzo mzuri
 
hizo ni mbwembwe tu za kubenea. amemsafisha mwizi mkuu lowasa anakimbilia ufuaji wa majoho..what a shame
 
hizo ni mbwembwe tu za kubenea. amemsafisha mwizi mkuu lowasa anakimbilia ufuaji wa majoho..what a shame

Acheni majungu, apongezwe kwa kazi yake. Lowassa alijisafisha mwenyewe mbele ya kamati kuu ya Chadema na Slaa akiwepo.
 
Hatumuamini takataka kubenea, si alimwagiwa tindikali na Chadomo huyu, si alisema Lowasa mwizi miaka 8.
 
ccm hawapendi habari kama hizi we angalia comment zao tu!
 
Hapa ni halmashauri moja tu, lakini inamaana mnyika hakuuona huu ufisadi kweli? sasa nimeamini ukawa ni wa hovyo kuliko tunavyodhania.
Kwani kazi ya ukawa ni kuibua ufisadi na wengine ni kuwa mafisadi?????????? Think outside the box
 
Hapa ni halmashauri moja tu, lakini inamaana mnyika hakuuona huu ufisadi kweli? sasa nimeamini ukawa ni wa hovyo kuliko tunavyodhania.
UKAWA ndiyo walikuwa wanatoa hizo hela za kufua hayo Majoho? Mbona Kikwete alishindwa kutoa hela za kutengenezea mashine za Muhimbili mpaka alipokuja Magufuli na hamkumuita Kikwete wa Hovyo kabisa?

Halafu kwani hiyo Halmashauri wakati inafanya huo ujinga ilikuwa chini ya UKAWA?
 
Slaa yupi unayemzungumzia?.. mkuu yule hayupo tena kwenye ulingo wa siasa alishamaliza kazi yake. mkuu wewe TZ huijui?

Alisema yuko tayari kupotosha ukweli ili kutimiza malengo yake- kuuza magazeti.
Aliwahi mzushia Makonda akaumbuka kwenye Tv
 
Tatizi sio kuibua ufisadi mimi huyu jamaa aliwahi kukashifu sana lowasaa ila mwisho wa siku akaja kumsafisha mpinga ufisadi chadema ayupo tena

Kweli kabisa tatizo likija jina la kubenea ujue hiyo habari kesho itagekua kuwa sio kweli
 
Natamani watu waone kazi njema aliyo ifanya ili kuukata huu mrija, kumbe kinyume chake ni gunia la lawama! My, my, my. Mlitaka akae kimya muendelee kula?? Zama hizo sasa zimekwisha. Mkilogwa tu mmekwisha. Kama ulikuwa umetegeshea mtego umefyatu.
 
Alisema yuko tayari kupotosha ukweli ili kutimiza malengo yake- kuuza magazeti.
Aliwahi mzushia Makonda akaumbuka kwenye Tv

Na bado, Muda wowote Ndungai atabuluzwa mahakamani na Saed Kubenea. Mtakuwa wa kwanza kusoma namba
 
CCM wanalalamika kwasababu ni dili zao.....fichua zote kubenea....
 
Back
Top Bottom