Kukaa muda wote kumbembeleza mpenzi wako hupelekea mazoea mabaya ya kutaka kubembelezwa kila wakati na ipo siku utamkuta anakusaliti atakutaka umbembeleze asiwe anakusaliti, mpenzi wako asijue tabia yako na misimamo yako.
Hayo ni mawazo yako tu....watu wanatofautiana...kuna wengine hakuna kubembelezanaKukaa muda wote kumbembeleza mpenzi wako hupelekea mazoea mabaya ya kutaka kubembelezwa kila wakati na ipo siku utamkuta anakusaliti atakutaka umbembeleze asiwe anakusaliti, mpenzi wako asijue tabia yako na misimamo yako.
kabisa yaniHayo ni mawazo yako tu....watu wanatofautiana...kuna wengine hakuna kubembelezana
yani Kuna watu ukizingua imekula kwakokabisa yani
yani Kuna watu ukizingua imekula kwako
Wengine huwa wanakopliketisha mambo tu...Hahahh na watu kama hao hawanaga misuko suko miingi kwenye mapenzi, kama hawa wanao bembelezana
na huo muda wa kubembelezana kila mara unapata wapi.......?
yani Kuna watu ukizingua imekula kwako
hawana cha kubembeleza....
![]()
na huo muda wa kubembelezana kila mara unapata wapi.......?
Hivi ukiwa na mwenza asiekubembeleza, anakuwa wa kazi gani? Mwenza manual kama dildo za mange nani anataka?! Manake kama ni mishindo tutajipa wenyewe, kama ni hela tutajitaftia.
kale kawimbo ka matarumbeta 'ndoa ni mapatano, na ni kazi ya kubembelezana' kana maana sana
Nimeathirika na hioki2