Kubamba kwa Klabu ya 40-40 ya Tabata kumeisha?

Kubamba kwa Klabu ya 40-40 ya Tabata kumeisha?

Sumti

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2016
Posts
2,342
Reaction score
2,196
Habari zenu wakuu humu jamvini.

Nisiwachoshe wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Muda huu naandika uzi huu nipo hapa Forty Forty Tabata Bima, ila kiukweli watu tuliopo hapa ni wa kubesabu pamoja na weekend yote hii.

DJ anajitahidi kushusha vitu vya maana kabisa lakini ndio hivyo, ni viti tu vinashangilia.

Je, ni kuongezeka kwa viwanja hapa Tabata, ukosefu wa ukwasi kwa wananchi au Bar haina mvuto tena?
 
Habari zenu wakuu humu jamvini.

Nisiwachoshe wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Muda huu naandika uzi huu nipo hapa Forty Forty Tabata Bima, ila kiukweli watu tuliopo hapa ni wa kubesabu pamoja na weekend yote hii.

DJ anajitahidi kushusha vitu vya maana kabisa lakini ndio hivyo, ni viti tu vinashangilia.

Je, ni kuongezeka kwa viwanja hapa Tabata, ukosefu wa ukwasi kwa wananchi au Bar haina mvuto tena?
Njoo Kitambaa Cheupe hapa Mkuu kumekuchaa.
 
Walevi sio watu wakipata chimba jipya wanahama..
Hapo kuliwalostisha walivofunga kipindi kile...

Hapo watu wapo Small Planet na kwny vi pub vya jiran kwny huo uchochoro....

Ka unataka kukanyagana sogea kitambaa
Aiseee
 
Habari zenu wakuu humu jamvini.

Nisiwachoshe wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Muda huu naandika uzi huu nipo hapa Forty Forty Tabata Bima, ila kiukweli watu tuliopo hapa ni wa kubesabu pamoja na weekend yote hii.

DJ anajitahidi kushusha vitu vya maana kabisa lakini ndio hivyo, ni viti tu vinashangilia.

Je, ni kuongezeka kwa viwanja hapa Tabata, ukosefu wa ukwasi kwa wananchi au Bar haina mvuto tena?
Unajua maana ya ukwasi?
 
Unajua maana ya ukwasi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba watu hawana hela tena za bajeti kwa ajili ya kula maisha
 
Back
Top Bottom