Kubadilishana mikoa kwa walimu

Kubadilishana mikoa kwa walimu

Anyetaka kwenda Arusha ambaye ni mwalimu na yuko hapa Dar naomba tuwasiliane Kwa 0759 239577 ili tubadilishane
 
Sehemu haijalishi, mtu hupangiwa pa kwenda na halmashauri, sio lazima eti kama nilikua shule x nawe utapangiwa shule x.
 
Hivi Chalinze ipo h/shauri ya wilaya ya bagamoyo au kibaha?
 
We mwl Wa level ipi maana anayetafuta Wa kubadilishana naye ni Wa shule ya msingi
 
We mwl Wa level ipi maana anayetafuta Wa kubadilishana naye ni Wa shule ya msingi
Masters, nafundisha pure mathematics, A- Level, Lugoba Secondary. Chalinze ni Halmashauri saivi, ila bado ipo wilaya ya Bagamoyo.
 
OK, ninapafahamu Lugoba. Mi niko Dar, ni mke wangu ndio anatafuta Wa kubadilishana naye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom