KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI (mwalimu)

Rizeeck

Member
Aug 7, 2014
30
5
Naitwa mwal Msofe. nipo mkoa wa Mara, Wilaya Musoma .nataka kubadilishana kituo cha kazi kwa aliye tayari..mimi niende kwenye Hii mikoa au wilaya . Arusha. Manyara. Kilimanjaro. Tanga. dar es salaam. nipo karibu na musoma mjini huduma zote zipo...usafiri..maji..umeme..m pesa..airtel money..tigo pesa... dstv..stationaries..tuwasiliane sasa..msofe 0767 900094...hili tangazo ni jipya..
 
khaaa!! che mwalimu!! weka na kitu juu hapo mbali na kubadilishana kituo. teh teh teh ( pesa)
 
Tumechoka kusikia matangazo ya kubadilishana kwa walimu tu kila siku sasa chini ya awamu ya gwara ni zamu ya wajeda na mamwera hapo imekaaje wakuu
 
Back
Top Bottom