Hiyo laana itaendelea kukutafuna wewe mwana kharamuSitashangaa Rais ajaye mwaka 2025 akawa Majaliwa
Tehetehetehe. Pole sana ndugu. Mlitaka kumchonganisha Makonda na Mzee Warioba. Aibu imewarudia wenyewe
Ukifika ruangwa ndio utajua ukweliPM nae walewale tu, hivi vikao vya ndani vya chadema ndo analinganisha na vikao vya bunge, kweli hii nchi safari bado ndeeeeefu mno
Dogo asante kwa kuja,je Kub Mbowe anafaa?Teeeeeeh, nasikia kesho wanajadili ununuzi wa mv dsm na aliyeuza nyumba za serikali
Muulize mmiliki wenu mpya alikuja Ruangwa na Mtama wakachangia ccm kwa kununua kadi...wakamwaga pesa..1bil. ili Nape asishinde akaishia aibu.Ukifika ruangwa ndio utajua ukweli
Aya kesho wahi lumumba ukachukue buku 7Muulize mmiliki wenu mpya alikuja Ruangwa na Mtama wakachangia ccm kwa kununua kadi...wakamwaga pesa..1bil. ili Nape asishinde akaishia aibu.
Jikite kwenye hoja usiyumbe kama mlevi.sasa bunge liliopita mliahirisha mpango gani na mlipeleka wa nini kama mpango wa 2015/25 upo?
bahati nzuri mnatumia weakness ya IQ ndogo ya watanganyika kufikia malengo yenu! Maana hata wewe mtoa maada umesahau what transpired in the last session! Kikatiba inabidi before anything kama utawala mpya mtoe muelekeo, mliutoa mkagundua una makosa sasa mnakuja na blabla nyingine?
Dah kwa majibu haya ya Waziri Mkuu hakika Mbowe yupo uchi wa mnyama
Pumzi kwisha!Aya kesho wahi lumumba ukachukue buku 7
Hakika wanaounga mkono chadema ya mafisadi na watetezi wake kina mmawia wakapimwe akili.Ukapimwe kwanza wewe unaye endelea kukiunga mkono chama kinacho kumbatia majizi ya rasilimali za taifa
Yaa ni kweli dogo nikikumbuka Mbowe anavyolilia chai na bia,hataki afya,elimu wa la barabara....hakika mbowe na chadema ni janga yaani kawadhalilisha sana.Kwakweli nikisoma majibu ya hawa wana CCM mufilisi wa humu JF nikajumlisha na hayo majibu ya hovyo aliyotoa Kassim Majaliwa nikajumlisha na michango ya Joseph Msukuma, Halima Bulembo na Juma Nkamia najiridhisha kuwa CCM ni wamoja kwenye vihoja na CCM ni ileile!
Sumaye alishawaambia ukawa kuwa hawana watu wa kuongoza serikali.....sijajua ccm watawapa kiongozi gani kuwasaidia kugombea?Sitashangaa Rais ajaye mwaka 2025 akawa Majaliwa
Tehetehetehe. Pole sana ndugu. Mlitaka kumchonganisha Makonda na Mzee Warioba. Aibu imewarudia wenyewe
Mmewatelekeza wagogo na kuanza kuwasumbua, mliwaona kama miungu watu kabla ya uchaguzi lkn baada ya kuwapa kura mnawatimua kiroho mbaya!!!!!Sitashangaa Rais ajaye mwaka 2025 akawa Majaliwa
Tehetehetehe. Pole sana ndugu. Mlitaka kumchonganisha Makonda na Mzee Warioba. Aibu imewarudia wenyewe
Muulize mmiliki wenu mpya alikuja Ruangwa na Mtama wakachangia ccm kwa kununua kadi...wakamwaga pesa..1bil. ili Nape asishinde akaishia aibu.
2005-....1995-2005
Hujui unachoongea,umeishiwa pumziMmewatelekeza wagogo na kuanza kuwasumbua, mliwaona kama miungu watu kabla ya uchaguzi lkn baada ya kuwapa kura mnawatimua kiroho mbaya!!!!!
Jikite kwenye hoja kijana,tatizo lako unaingia uwanjani na hujui timu unayoshangilia sasa unashabikia timu ya wapiga kelele.Kwa uandishi huu,ulipaswa kuwa kwenye kitabu cha Kainerugaba Msemakweli cha Mafisadi wa Elimu Tanzania. Bure kabisa!
Hivi kuna bunge?
Nafikiri sasa umeweza kumtofautisha ZZK...na wajomba zako Lema na Mbowe!...umesikiliza hoja kuntu za Zitto?