Ni zaidi ya kufeli.....duuuh! maana hao washkaji walivyojazana kwenye hicho kikao cha dharura...balaaa!! #sijui mpigwaji alikuwa na taarifa juu ya hili...
izi ndo faida za kuwekeana vitu kinyume na maumbile (UKAMEROON), mpaka joint zinavunnjika m2 anashindwa hata kujizuia haja inapomfika. so, tafakari na uchukue hatua sahihi. zingatieni.
tehetehe!hapo sasa ukute anapanda vidaladala zetu za bongo,mmejazana,then anakuja simama karibu yako wakati we ndo umekaa!kitu level ya pua,then anakugeuzia masaburi kwako!utamwambiaje kama ndo wewe??tehetehe,mimi taratibu ningeshuka
ni zaidi ya kufeli.....duuuh! Maana hao washkaji walivyojazana kwenye hicho kikao cha dharura...balaaa!! #sijui mpigwaji alikuwa na taarifa juu ya hili...