Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 15,005
- 35,145
Kweli mkuu maana ukiugua hauna namna hata kama huna hela lazima ipatikane tu ukatibiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mkuuu , naomba kuuliza kama ulishakamilisha lengo lako la maabara , ili nipate uzoefu kwakoAhsante Mkuu! Lengo langu ni kuwa na maabara ya vipimo vya magonjwa ambayo ni common na ni ya kawaida ya binadamu. Kuhusu utalaam mimi sina utalaam huo ila nimeona ni fursa ambayo naweza kunufaika nayo kwa mtaji mdogo nilio nao.
Mkuu ulifanikiwa kupata maelezo, na mm ningeomba kujua kdg.Habari mkuuu , naomba kuuliza kama ulishakamilisha lengo lako la maabara , ili nipate uzoefu kwako