Wabogojo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 354
- 87
Habar zenu Wakuu!
Nina lengo la kuanzisha na seriouly kufanya biashara ya Maabara ya kupima vipimo vyote vya magonjwa ya binadamu katika moja ya mji wa hapa TZ.
Ninacho omba kutoka kwa watalaam na au wazoefu wa mambo ya maabara ni kupatiwa process au mchakato mzima wa kuhakikisha nakidhi vigezo vyote na pia ni vifaa gani muhimu vinavyo hitajika kwa maabara iliyo kamili.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote watakao kuwa tayari kuni support ili nitimize ndoto zangu ikizingatiwa kuwa sehemu tayari nimeshaipata ni room kubwa ya kutosha katikati ya manispaa.
Nina lengo la kuanzisha na seriouly kufanya biashara ya Maabara ya kupima vipimo vyote vya magonjwa ya binadamu katika moja ya mji wa hapa TZ.
Ninacho omba kutoka kwa watalaam na au wazoefu wa mambo ya maabara ni kupatiwa process au mchakato mzima wa kuhakikisha nakidhi vigezo vyote na pia ni vifaa gani muhimu vinavyo hitajika kwa maabara iliyo kamili.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote watakao kuwa tayari kuni support ili nitimize ndoto zangu ikizingatiwa kuwa sehemu tayari nimeshaipata ni room kubwa ya kutosha katikati ya manispaa.