Kuanzia leo naacha pombe

Kuanzia leo naacha pombe

Pamoja na magonjwa yanayosababishwa na pombe nimegundua hii pombe imenifilisi vya kutosha.

Huu ni mwaka wa 15 nakunywa pombe. Siku nne za wiki nakunywa angalau bia 4 kama sio tano yaani heineken =4*300*4 = 48,000.

Siku tatu ambazo ni weekend nakunywa bia 10 mpaka 12 Heineken = 10*300*3 = 90,000.

Kwa hiyo kwa wiki nakunywa minimum 138,000 sasa mwaka una wiki 52 = 138,000*52=7,176,000

Kwa miaka 15 nimekuwa nikinywa = 15*7,176,000=107,640,000. Kwa hiyo kiwango cha chini nilichotumia kwenye pombe mpaka sasa ni 107,640,000/=.

Hapa sijajumlisha na zile offer za akina Aisha, Mwajuma, Jane, Mary, Frnki nk. kwasababu mimi ni mkarimu sana kwenye kuwapa offers lets say nimeshatoa offer kama 1/4 ya nilichotumia mimi ambayo itakua ni sawa na 107,640,000/4 = 26,910,000.

Jumla ya matumizi yangu kwenye ulevi ni 107,640,000+26,910,000 = 134,550,000.

Kwaheri pombe.

Enough is enough.
Nafikiri una rafiki mwenye kipato kama chako na hanywi. Hizo ambazo umezinywea yeye asiyekunywa kafanyia nini.
Uwe na mipango ya maisha yako. Ukifeli usisingizie pombe. Kuna wanywaji wengi na wana maendeleo mazuri tu.
 
ha ha ha hii ilikua zamani sana Juzi nimepita pale naona kama imechoka kiana aina. Mimi nilikua nikilewa lazima niharibu aisee. ila mwenyezi Mungu ametuapusha na mengi sana bora tu jamaa ameamua kuacha.

Tusuburi mrejesho Jumatatu kwasababu huyu naona anasumbuliwa na hangover ya juzi jumapili
Bonga bar ilikua na wahudumu idadi sawa na wateja. Kila mteja na mhudumu wake. Kulikua na vyumba viwili kama gesti bubu. Uchafu uliofanyika Bonga bar ni kama ule wa Kwamachein migomigo. Sewa Buguruni. Shentembar kino. Deluxe Magomeni. Sugar ray. Ile
Mboka buguruni cha mtoto. We acha tu. Ukiambiwa kuna watu waliokunywa Deluxe bado wanadunda!@@
 
Hii ndio point kubwa.kuna wengine wakishtua wanapata ujasiri Wa kusaka mahela.
Labda ungepiga hesabu na deal ngapi au watu wangapi wa maana uliokutana nao huko unapokunywaga.

Wakati mwingine faida ya pombe sio kinywa tu je imekuunganisha na watu wangapi au deal ngapi?
 
Nikipiga hesabu nitazimia maana hesabu zako ni robo kwangu 🙆🍻 eeeh muokozi nitowe roho niepuke hilibalaaaaaaa!
 
Nimepunguza sana pombe ila sasa nimekuwa kama na vurugu flani hivi siku nikilewa.

Kingine kwa sasa nikilewa baadhi ya kumbukumbu zinapotea. Nachoshukuru sitoi ofa kijinga
 
Pamoja na magonjwa yanayosababishwa na pombe nimegundua hii pombe imenifilisi vya kutosha.

Huu ni mwaka wa 15 nakunywa pombe. Siku nne za wiki nakunywa angalau bia 4 kama sio tano yaani heineken =4*300*4 = 48,000.

Siku tatu ambazo ni weekend nakunywa bia 10 mpaka 12 Heineken = 10*300*3 = 90,000.

Kwa hiyo kwa wiki nakunywa minimum 138,000 sasa mwaka una wiki 52 = 138,000*52=7,176,000

Kwa miaka 15 nimekuwa nikinywa = 15*7,176,000=107,640,000. Kwa hiyo kiwango cha chini nilichotumia kwenye pombe mpaka sasa ni 107,640,000/=.

Hapa sijajumlisha na zile offer za akina Aisha, Mwajuma, Jane, Mary, Frnki nk. kwasababu mimi ni mkarimu sana kwenye kuwapa offers lets say nimeshatoa offer kama 1/4 ya nilichotumia mimi ambayo itakua ni sawa na 107,640,000/4 = 26,910,000.

Jumla ya matumizi yangu kwenye ulevi ni 107,640,000+26,910,000 = 134,550,000.

Kwaheri pombe.

Enough is enough.
Mkuu badilisha aina ya bia unayokunywa hapo utakuwa umepunguza expenditure size na bado ukala bata kama kawa.
 
I have been Drinking for the Last Five years.
But I really dont know why I should Drink!
It has reach a point whereby a day cant pass without me taking 1 or 2

At the moment am sruggling on quiting drinking all together!!
Please JF members, Is there anyone who has been drinking and now he is out of it?
In simple terms, Is it posible for one to quit Drinking?

I always ask myself what I get from drinking but but only negatives
1. Hang overs in the office
2. I cant give out my best in office
3. Loss of money
4. Am growing old at a very high rate
5. Kitambi
6. Some sundays I cant attend mass due to hang over
7. I drive carelessly as I feel am the Michael schumacher of Tanzania.
8. Some people now just take me as a mare drunkered
9. Sometimes am late in the Office
10. Most of my free time is wasted in Bars
11. Sometimes I end up Picking Those Bar maids.

Hebu nisaidieni jamani, Nimedhamiria kwa moyo mmoja kuacha pombe, sitaki kurudi nyuma. Tatizo nikiingia hata kwenye Bar nikiona Castle ya baridi koo linakauka ghafla, please members advise me.

Ninajua kuna wangi hapa walikua type yangu lakini sasa wamepona, Huu kwangu sasa ni ungonjwa, what Can I just do niachane na hili Zimwi?
Mie nilikuwa zaidi yako mkuu mpka nw watu wanaonijua bado hawaamini kama pombe kwngu ni historia... nmeacha rasmi trh 1/10/2014 mpka sasa sijawah itia mdomoni so ni miaka mitano sasa..
 
Mie nilikuwa zaidi yako mkuu mpka nw watu wanaonijua bado hawaamini kama pombe kwngu ni historia... nmeacha rasmi trh 1/10/2014 mpka sasa sijawah itia mdomoni so ni miaka mitano sasa..

Hongera zako dady
 
Nelekea kupata ushindi waungwana karibuni katika chama.

Bar naenda kama kawaida pombe ndio sinywi
 
Back
Top Bottom