Kuanzia leo naacha pombe

Kuanzia leo naacha pombe

Kikelelwa

Senior Member
Joined
Dec 14, 2010
Posts
176
Reaction score
124
Pamoja na magonjwa yanayosababishwa na pombe nimegundua hii pombe imenifilisi vya kutosha.

Huu ni mwaka wa 15 nakunywa pombe. Siku nne za wiki nakunywa angalau bia 4 kama sio tano yaani heineken =4*300*4 = 48,000.

Siku tatu ambazo ni weekend nakunywa bia 10 mpaka 12 Heineken = 10*300*3 = 90,000.

Kwa hiyo kwa wiki nakunywa minimum 138,000 sasa mwaka una wiki 52 = 138,000*52=7,176,000

Kwa miaka 15 nimekuwa nikinywa = 15*7,176,000=107,640,000. Kwa hiyo kiwango cha chini nilichotumia kwenye pombe mpaka sasa ni 107,640,000/=.

Hapa sijajumlisha na zile offer za akina Aisha, Mwajuma, Jane, Mary, Frnki nk. kwasababu mimi ni mkarimu sana kwenye kuwapa offers lets say nimeshatoa offer kama 1/4 ya nilichotumia mimi ambayo itakua ni sawa na 107,640,000/4 = 26,910,000.

Jumla ya matumizi yangu kwenye ulevi ni 107,640,000+26,910,000 = 134,550,000.

Kwaheri pombe.

Enough is enough.
 
I have been Drinking for the Last Five years.
But I really dont know why I should Drink!
It has reach a point whereby a day cant pass without me taking 1 or 2

At the moment am sruggling on quiting drinking all together!!
Please JF members, Is there anyone who has been drinking and now he is out of it?
In simple terms, Is it posible for one to quit Drinking?

I always ask myself what I get from drinking but but only negatives
1. Hang overs in the office
2. I cant give out my best in office
3. Loss of money
4. Am growing old at a very high rate
5. Kitambi
6. Some sundays I cant attend mass due to hang over
7. I drive carelessly as I feel am the Michael schumacher of Tanzania.
8. Some people now just take me as a mare drunkered
9. Sometimes am late in the Office
10. Most of my free time is wasted in Bars
11. Sometimes I end up Picking Those Bar maids.

Hebu nisaidieni jamani, Nimedhamiria kwa moyo mmoja kuacha pombe, sitaki kurudi nyuma. Tatizo nikiingia hata kwenye Bar nikiona Castle ya baridi koo linakauka ghafla, please members advise me.

Ninajua kuna wangi hapa walikua type yangu lakini sasa wamepona, Huu kwangu sasa ni ungonjwa, what Can I just do niachane na hili Zimwi?
 
Kama umejaribu kuacha pombe umeshindwa nitafute pm nikuunganishe na mtu ambaye amesaidia watu wengi sana kuacha pombe.

Sitahitaji chochote kuunganisha nae in a very short time utaacha pombe trust me.
Nyie ndo mnawadanganya wanachama wetu wale mavi ya kuku ili wajivue uanachama kwa hiari...

Tumewastukia, tutawashughulikia
 
Kama umejaribu kuacha pombe umeshindwa nitafute pm nikuunganishe na mtu ambaye amesaidia watu wengi sana kuacha pombe.

Sitahitaji chochote kuunganisha nae in a very short time utaacha pombe trust me.

Naomba Number zake mkuu
 
Hatushawishi mtu, akitaka kwa hiari yake mwenyewe anakaribishwa.
Nyie ndo mnawadanganya wanachama wetu wale mavi ya kuku ili wajivue uanachama kwa hiari...

Tumewastukia, tutawashughulikia
 
Back
Top Bottom