BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Nimekua mdau na Specialist wa kutandika mikeka toka 2017.nimefanya kazi hii kwa miaka 6 sasa, nimekula Mara kadhaa na kuliwa sana.
Nimepata pesa sana za kamari ila sijafanyia la maana lolote.Kwa sasa Nina miaka 38 na Naomba Mungu anisaidie nisibeti tena.
Naomba mniombee wadau
Nimepata pesa sana za kamari ila sijafanyia la maana lolote.Kwa sasa Nina miaka 38 na Naomba Mungu anisaidie nisibeti tena.
Naomba mniombee wadau