Ulimwenguni dola nyingi zimeanguka. Dalili za kuanguka dola huwa zinaonekana miaka miwili, au hata mitatu kabla ya hitimisho la anguko lenyewe. Dalili kuu za kuanguka kwa dola huwa ni pamoja na:-
1. Viongozi kuonekana kama wana masikio, angawa huwa hawasikii (Viziwi)
2. Viongozi kuonekana kama wana macho, ingawa huwa hawaoni (Vipofu)
3. Viongozi kuonekana kama wana midomo, ingawa huwa hawawezi kusema (Bubu)
4. ......................................................................................................................
5. ....................................................................................................................
6. .....................................................................................................................
Tafadhali endeleza dalili nyingine, na ukiweza bashiri dola zinazo onesha dalili za kuanguka.