Kuangalia EPL LIVE KUPITIA SIMU

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,606
Reaction score
8,268
Wadau naomba msaada kwa wajuzi, nifanye ili niwe naangalia ligi ya uingereza kupitia simu ya mkononi. Nimejaribu kila njia sijafanikiwa, sasa wajuzi hebu nipeni elimu maana mie husafiri sana vijijini sio rahisi kupata mahali kuna dstv
 
Jibu lipo ila sasa, huko vijijini, kuna network 3g or 4g ya kukuwezesha ku stream mechi hadi ikaisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…