fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,606 Reaction score 8,268 Dec 27, 2016 #1 Wadau naomba msaada kwa wajuzi, nifanye ili niwe naangalia ligi ya uingereza kupitia simu ya mkononi. Nimejaribu kila njia sijafanikiwa, sasa wajuzi hebu nipeni elimu maana mie husafiri sana vijijini sio rahisi kupata mahali kuna dstv
Wadau naomba msaada kwa wajuzi, nifanye ili niwe naangalia ligi ya uingereza kupitia simu ya mkononi. Nimejaribu kila njia sijafanikiwa, sasa wajuzi hebu nipeni elimu maana mie husafiri sana vijijini sio rahisi kupata mahali kuna dstv
SangaweJr JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 2,990 Reaction score 2,669 Dec 27, 2016 #2 Jibu lipo ila sasa, huko vijijini, kuna network 3g or 4g ya kukuwezesha ku stream mechi hadi ikaisha?
Jibu lipo ila sasa, huko vijijini, kuna network 3g or 4g ya kukuwezesha ku stream mechi hadi ikaisha?