Nimekusoma Mkuu na pia naona umejiandaa vilivyo ila ushauri kwa kuwa kuna eneo ambalo watengeneza movie za series bongo hawajaingia labda tamthilia (Siri Ya Mtungi n.k) wameonesha njia kwa series au upande wa dokumentari za kawaida ulimwenguni sisi Tanzania bado watu kama wewe hamjagusa basi wazo ni kuwa jikite ktk dokumentari kwanza.
Anza kwanza na dokumentari mfano ''Usafiri Tanzania'' Sehemu ya 1 : reli ya kati Dsm to Kigoma/Mwanza, Sehemu ya 2: TAZARA, Sehemu ya 3 : Usafiri wa baharini (wakisasa) DSM ZNZ PEMBA TANGA sehemu ya 4: Barabara DSM to Tunduma n.k
Ukiweza kuandaa dokumentari nzuri ya USAFIRI TANZANIA utakuwa umepata uzoefu mkubwa na pia kupata soko /wafadhili (Tanapa, Bandari, Reli, Usafiri wa Barabara) ndani na nje ya Tanzania kupitia Dokumentari bado hatujazungumzia mkato toka youtube , vituo vya televisheni kimataifa n.k
Mwisho wa siku utaweza kupata uzoefu mkubwa wa kuandaa kitu kama SERIES
Anza kwanza na dokumentari mfano ''Usafiri Tanzania'' Sehemu ya 1 : reli ya kati Dsm to Kigoma/Mwanza, Sehemu ya 2: TAZARA, Sehemu ya 3 : Usafiri wa baharini (wakisasa) DSM ZNZ PEMBA TANGA sehemu ya 4: Barabara DSM to Tunduma n.k
Ukiweza kuandaa dokumentari nzuri ya USAFIRI TANZANIA utakuwa umepata uzoefu mkubwa na pia kupata soko /wafadhili (Tanapa, Bandari, Reli, Usafiri wa Barabara) ndani na nje ya Tanzania kupitia Dokumentari bado hatujazungumzia mkato toka youtube , vituo vya televisheni kimataifa n.k
Mwisho wa siku utaweza kupata uzoefu mkubwa wa kuandaa kitu kama SERIES