HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Ni uvivu tu wa kufikiri na kutambua kuwa KUAMINI kitu ni mashaka badala yake ni KUJUA ni kujua kitu.
Waafrika wengi wamepotoshwa kuwa kuna kumwamini yesu na muhamadi ambao ni njia ya kwenda kwa Mungu.
Inakuaje uamini kitu ambacho hukijui iwapo tunaamini kuna kufa kwa sababu tunajua watu wanakufa,tunaamini baba na mama kwa sababu wanatuzaa,nk.
Unaaminije katika yesu na muhamadi wakati huwajui na kuwaacha babu na bibi zako unaowajua kupitia ukoo wako?
Waafrika wengi wamepotoshwa kuwa kuna kumwamini yesu na muhamadi ambao ni njia ya kwenda kwa Mungu.
Inakuaje uamini kitu ambacho hukijui iwapo tunaamini kuna kufa kwa sababu tunajua watu wanakufa,tunaamini baba na mama kwa sababu wanatuzaa,nk.
Unaaminije katika yesu na muhamadi wakati huwajui na kuwaacha babu na bibi zako unaowajua kupitia ukoo wako?