Kuahurishwa kuvunjwa kwa bunge 2025, matokeo yake ni yes reforms,yes election. Maswali 5 ya kujiuliza!

Kuahurishwa kuvunjwa kwa bunge 2025, matokeo yake ni yes reforms,yes election. Maswali 5 ya kujiuliza!

Mikael Aweda

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
3,129
Reaction score
4,285
WIki iliyopita nilileta mjadala humu kuhusu kama CXM inaweza kwenda bila Chadema. Nilifuatilia ule mjadala wa wadau na jibu lilikuwa wazi kwamba "uchaguzi bila Chadema hauwezekani" Huo ni ukweli japo mchungu. UCHAGUZI huo hautapata kibali mbele ya macho ya dunia. Mbaya zaidi nikapata taarifa zisizo na ushahidi kwamba CHADEMA walikuwa wanakaribia kujaza watanzania mil 15 ili kuzuia uchaguzi.
Mimi siyo Godbless Lema Wala Mimi siyo nabii lakini kitendo Cha Rais wa Zanzibar na Rais wa Jamhuri Kuahirisha Kuvunja Bunge kwa mara ya kwanza katika ya Tanzania ni ishara ya wazi kwamba CCM na CHADEMA WATAKAA MEZANI Moja na kufanya Reforms kadhaa. Ndo maana Bunge halitavunjwa! Na kwa hatua hii NAOMBA nimpongeze Rais wa Tanzania mama Samia kwa ujasiri huo. Hiyo ni Hekima kwa Maoni yangu. Hata hivyo, Nina maswali matano ya kuuliza!

Swali la kwanza! Je, Taarifa za mitandaoni kwamba Bungeimeahirishwa KUVUNJWA ili CCM na CHADEMA wakae meza Moja ni za kweli? Kama ni Kweli!
Je, Kwa nini CCM Imeamua kukaa meza Moja na Chadema badala ya kwenda na vyama vile vingine 17? Vyama 18 vinaweza kushindwa dhidi ya Chama kimoja. Hii ina maana kwamba Vyama 18 vikishiriki uchaguzi bila Chadema bado ngoma inakuwa nzito kiasi Cha Kuahirisha Bunge? Je, hii ndo kuthibitisha vyama Vingine vya upinzani kwamba Chama Cha upinzani ni kimoja japa Tanzania? Kwamba bila Chadema uchaguzi haiwezi kuwa halali? Ina maana kwamba CHADEMA ina nguvu kuliko vyama 17 vya upinzani?

Swali la pili, kwa nini Mama Samia na CCM wameamua kukaa meza Moja na Chadema? Je, ni kwa sababu ya Nyomi ya Mikutano ya akina Mnyika, Rose Mayemba, Heche na Lema au Presha ya Kimataifa au Presha ya Kanisa katoliki na madhehebu mengine ai ni kwa sababu CCM na Mama ni wazalendo na kwa hiyo wameamua kutanguliza mbele maslahi ya nchi na mustakabali mwema wa nchi? Au mkusanyiko wa Vyote hiyo?

Swali la tatu, swali kubwa na tata! Je, Kitakachofanyika ni reforms au mfano wa Reforms? Je, CCM itakubali tume huru ya uchaguzi, kuanzia ngazi Taifa mpaka kwenye Vituo vya kupiga kura? Hili swali ni kubwa mpaka ninaogopa kufafanua zaidi ya hapo! Narudia tena, CCM itaunda tume huru ya uchaguzi??

Swali la Nne, swali gumu kwa wapinzani! Je, wakati CCM NA CHADEMA wakikaa MEZANI na kuvutana kuhusu Reforms, vyama Vingine vya upinzani vinakaa upande wa CCM au Upande wa Chadema? Maana kwenye agenda hii vyama 17 vya upinzani vilikuwa upande wa CCM na waliunga mkono Uchaguzi ufanyike bila reforms. Sasa nauliza kwamba kwenye meza ya upatanisho, vyama 17 vitakuwa upande gani??
Nina uhakika hili swali ni gumu kwa wapinzani! Ha ha ha ha ha.

swali la sita, hivi nani atakuwa mwenyekiti wa huo mjadala? Je, mjadala huo wa reforms utaanza lini na unaishia lini? Hili swali siyo dogo kwa sababu tulitumia mabilioni kwenye katiba mpya ya Warioba na Ikishia hewani kwa hasara.

Je, mjadala huo unaanza Lissu akiwa ndani au ameshatoka bila masharti? Akiwa Nje na Kesi au ameachiwa bila Masharti? Kama ndivyo, Kesi ijayo ya Lissu atatolewa!?
Swali la Saba, Uchaguzi wa Tanzania bado utakuwa octoba, 2025 au utafanyika 2027. Au 20230!? Jibu sahihi ni Lipi? Nani ataamuakuhusu muda wa Reforms? Mganga hajigangi? Kipindi Cha Reforms kinaamuliwa na wabunge au Rais? Je, Wabunge au Rais wenye Mgogoro wa kimaslahi juu ya jambo hil, wataamua kwa haki??
Siyo kwamba Maswali yameisha Ila Nimeona kwa Leo niishie hapa.
Nawakaribisha kwa mjadala usilo na mrengo kwa kisiasa Bali maslahi mapana ya nchi yetu.
By Mikael Aweda
 
Screenshot_2025-06-12-13-44-12-1.png
 
Swali no 3 limebeba msingi wa mada yotteeeee
 
Kwa upande wangu naona uchaguzi ujao ufanyike 2026 Oct, ili kutoa nafasi ya reforms zinazotakiwa na vyama vyote kuridhia. Na awamu inayokuja iwe ya kipindi cha miaka 4 badala ya mitano. Pesa za uchaguzi wa mwaka huu tuzipeleke kwenye miradi ya maendeleo
 
Tundu Lissu kwa niaba ya chama chake na kwa niaba ya Watanzania Halisi Alisha sema, hawana haraka na huo uchaguzi hata 2027 ukifanyika hakuna nongwa mradi reforms za kweli zifanyike kuondoa huu uhuni uliopo kwa faida ya wananchi katika kujipatia viongozi wao kwa haki na wazi.
Nchi hii kama ikiingia vitani basi sio wengine wanaoiingiza bali hao maccm na wakiongozwa na mwenyekiti wao na marafiki zake.
 
CCM na CHADEMA wakae meza Moja ni za kweli?
Sidhani kama ni habari za kweli. Kiswahili cha Zanzibar siyo rahisi kueleweka huku bara, huwa kinaenda kinyume.

Zanzibar hawatumii maneno "KUBUNJA BUNGE". Haya maneno kwa Zanzibar yanamaanisha KUBOMOA JENGO LA BUNGE.

Wanaposema kuahirisha wanamaanisha kusitisha/kukoma kwa shughuli za bunge mpk zitakapoitishwa tena baada ya uchaguzi.
 
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. CCM hawana choice nyingine bali ni kukubaki tu hizo reforms.
1. Mwenyekiti wa kikao atakuwa Jaji Warioba
2. Lissu atakuwa uraiani. Hakuna litakaloongelewa kama Mwenyekiti yumo ndani kwa uhaini ambayo adhabu yake ni kifo
3. Wale 17 pamoja na Chaumma wanavuna walichopanda.
 
WIki iliyopita nilileta mjadala humu kuhusu kama CXM inaweza kwenda bila Chadema. Nilifuatilia ule mjadala wa wadau na jibu lilikuwa wazi kwamba "uchaguzi bila Chadema hauwezekani" Huo ni ukweli japo mchungu. UCHAGUZI huo hautapata kibali mbele ya macho ya dunia. Mbaya zaidi nikapata taarifa zisizo na ushahidi kwamba CHADEMA walikuwa wanakaribia kujaza watanzania mil 15 ili kuzuia uchaguzi.
Mimi siyo Godbless Lema Wala Mimi siyo nabii lakini kitendo Cha Rais wa Zanzibar na Rais wa Jamhuri Kuahirisha Kuvunja Bunge kwa mara ya kwanza katika ya Tanzania ni ishara ya wazi kwamba CCM na CHADEMA WATAKAA MEZANI Moja na kufanya Reforms kadhaa. Ndo maana Bunge halitavunjwa! Na kwa hatua hii NAOMBA nimpongeze Rais wa Tanzania mama Samia kwa ujasiri huo. Hiyo ni Hekima kwa Maoni yangu. Hata hivyo, Nina maswali matano ya kuuliza!

Swali la kwanza! Je, Taarifa za mitandaoni kwamba Bungeimeahirishwa KUVUNJWA ili CCM na CHADEMA wakae meza Moja ni za kweli? Kama ni Kweli!
Je, Kwa nini CCM Imeamua kukaa meza Moja na Chadema badala ya kwenda na vyama vile vingine 17? Vyama 18 vinaweza kushindwa dhidi ya Chama kimoja. Hii ina maana kwamba Vyama 18 vikishiriki uchaguzi bila Chadema bado ngoma inakuwa nzito kiasi Cha Kuahirisha Bunge? Je, hii ndo kuthibitisha vyama Vingine vya upinzani kwamba Chama Cha upinzani ni kimoja japa Tanzania? Kwamba bila Chadema uchaguzi haiwezi kuwa halali? Ina maana kwamba CHADEMA ina nguvu kuliko vyama 17 vya upinzani?

Swali la pili, kwa nini Mama Samia na CCM wameamua kukaa meza Moja na Chadema? Je, ni kwa sababu ya Nyomi ya Mikutano ya akina Mnyika, Rose Mayemba, Heche na Lema au Presha ya Kimataifa au Presha ya Kanisa katoliki na madhehebu mengine ai ni kwa sababu CCM na Mama ni wazalendo na kwa hiyo wameamua kutanguliza mbele maslahi ya nchi na mustakabali mwema wa nchi? Au mkusanyiko wa Vyote hiyo?

Swali la tatu, swali kubwa na tata! Je, Kitakachofanyika ni reforms au mfano wa Reforms? Je, CCM itakubali tume huru ya uchaguzi, kuanzia ngazi Taifa mpaka kwenye Vituo vya kupiga kura? Hili swali ni kubwa mpaka ninaogopa kufafanua zaidi ya hapo! Narudia tena, CCM itaunda tume huru ya uchaguzi??

Swali la Nne, swali gumu kwa wapinzani! Je, wakati CCM NA CHADEMA wakikaa MEZANI na kuvutana kuhusu Reforms, vyama Vingine vya upinzani vinakaa upande wa CCM au Upande wa Chadema? Maana kwenye agenda hii vyama 17 vya upinzani vilikuwa upande wa CCM na waliunga mkono Uchaguzi ufanyike bila reforms. Sasa nauliza kwamba kwenye meza ya upatanisho, vyama 17 vitakuwa upande gani??
Nina uhakika hili swali ni gumu kwa wapinzani! Ha ha ha ha ha.

swali la sita, hivi nani atakuwa mwenyekiti wa huo mjadala? Je, mjadala huo wa reforms utaanza lini na unaishia lini? Hili swali siyo dogo kwa sababu tulitumia mabilioni kwenye katiba mpya ya Warioba na Ikishia hewani kwa hasara.

Je, mjadala huo unaanza Lissu akiwa ndani au ameshatoka bila masharti? Akiwa Nje na Kesi au ameachiwa bila Masharti? Kama ndivyo, Kesi ijayo ya Lissu atatolewa!?
Swali la Saba, Uchaguzi wa Tanzania bado utakuwa octoba, 2025 au utafanyika 2027. Au 20230!? Jibu sahihi ni Lipi? Nani ataamuakuhusu muda wa Reforms? Mganga hajigangi? Kipindi Cha Reforms kinaamuliwa na wabunge au Rais? Je, Wabunge au Rais wenye Mgogoro wa kimaslahi juu ya jambo hil, wataamua kwa haki??
Siyo kwamba Maswali yameisha Ila Nimeona kwa Leo niishie hapa.
Nawakaribisha kwa mjadala usilo na mrengo kwa kisiasa Bali maslahi mapana ya nchi yetu.
By Mikael Aweda
Una hoja usipuuzwe hata kidogo. Hongera kwa upeo wa kuona yasiyoonekana💯👍
 
WIki iliyopita nilileta mjadala humu kuhusu kama CXM inaweza kwenda bila Chadema. Nilifuatilia ule mjadala wa wadau na jibu lilikuwa wazi kwamba "uchaguzi bila Chadema hauwezekani" Huo ni ukweli japo mchungu. UCHAGUZI huo hautapata kibali mbele ya macho ya dunia. Mbaya zaidi nikapata taarifa zisizo na ushahidi kwamba CHADEMA walikuwa wanakaribia kujaza watanzania mil 15 ili kuzuia uchaguzi.
Mimi siyo Godbless Lema Wala Mimi siyo nabii lakini kitendo Cha Rais wa Zanzibar na Rais wa Jamhuri Kuahirisha Kuvunja Bunge kwa mara ya kwanza katika ya Tanzania ni ishara ya wazi kwamba CCM na CHADEMA WATAKAA MEZANI Moja na kufanya Reforms kadhaa. Ndo maana Bunge halitavunjwa! Na kwa hatua hii NAOMBA nimpongeze Rais wa Tanzania mama Samia kwa ujasiri huo. Hiyo ni Hekima kwa Maoni yangu. Hata hivyo, Nina maswali matano ya kuuliza!

Swali la kwanza! Je, Taarifa za mitandaoni kwamba Bungeimeahirishwa KUVUNJWA ili CCM na CHADEMA wakae meza Moja ni za kweli? Kama ni Kweli!
Je, Kwa nini CCM Imeamua kukaa meza Moja na Chadema badala ya kwenda na vyama vile vingine 17? Vyama 18 vinaweza kushindwa dhidi ya Chama kimoja. Hii ina maana kwamba Vyama 18 vikishiriki uchaguzi bila Chadema bado ngoma inakuwa nzito kiasi Cha Kuahirisha Bunge? Je, hii ndo kuthibitisha vyama Vingine vya upinzani kwamba Chama Cha upinzani ni kimoja japa Tanzania? Kwamba bila Chadema uchaguzi haiwezi kuwa halali? Ina maana kwamba CHADEMA ina nguvu kuliko vyama 17 vya upinzani?

Swali la pili, kwa nini Mama Samia na CCM wameamua kukaa meza Moja na Chadema? Je, ni kwa sababu ya Nyomi ya Mikutano ya akina Mnyika, Rose Mayemba, Heche na Lema au Presha ya Kimataifa au Presha ya Kanisa katoliki na madhehebu mengine ai ni kwa sababu CCM na Mama ni wazalendo na kwa hiyo wameamua kutanguliza mbele maslahi ya nchi na mustakabali mwema wa nchi? Au mkusanyiko wa Vyote hiyo?

Swali la tatu, swali kubwa na tata! Je, Kitakachofanyika ni reforms au mfano wa Reforms? Je, CCM itakubali tume huru ya uchaguzi, kuanzia ngazi Taifa mpaka kwenye Vituo vya kupiga kura? Hili swali ni kubwa mpaka ninaogopa kufafanua zaidi ya hapo! Narudia tena, CCM itaunda tume huru ya uchaguzi??

Swali la Nne, swali gumu kwa wapinzani! Je, wakati CCM NA CHADEMA wakikaa MEZANI na kuvutana kuhusu Reforms, vyama Vingine vya upinzani vinakaa upande wa CCM au Upande wa Chadema? Maana kwenye agenda hii vyama 17 vya upinzani vilikuwa upande wa CCM na waliunga mkono Uchaguzi ufanyike bila reforms. Sasa nauliza kwamba kwenye meza ya upatanisho, vyama 17 vitakuwa upande gani??
Nina uhakika hili swali ni gumu kwa wapinzani! Ha ha ha ha ha.

swali la sita, hivi nani atakuwa mwenyekiti wa huo mjadala? Je, mjadala huo wa reforms utaanza lini na unaishia lini? Hili swali siyo dogo kwa sababu tulitumia mabilioni kwenye katiba mpya ya Warioba na Ikishia hewani kwa hasara.

Je, mjadala huo unaanza Lissu akiwa ndani au ameshatoka bila masharti? Akiwa Nje na Kesi au ameachiwa bila Masharti? Kama ndivyo, Kesi ijayo ya Lissu atatolewa!?
Swali la Saba, Uchaguzi wa Tanzania bado utakuwa octoba, 2025 au utafanyika 2027. Au 20230!? Jibu sahihi ni Lipi? Nani ataamuakuhusu muda wa Reforms? Mganga hajigangi? Kipindi Cha Reforms kinaamuliwa na wabunge au Rais? Je, Wabunge au Rais wenye Mgogoro wa kimaslahi juu ya jambo hil, wataamua kwa haki??
Siyo kwamba Maswali yameisha Ila Nimeona kwa Leo niishie hapa.
Nawakaribisha kwa mjadala usilo na mrengo kwa kisiasa Bali maslahi mapana ya nchi yetu.
By Mikael Aweda
CCM na Reforms ni Paka na Panya. Wakifanya Reforms ambazo mnazitaka, CCM chali. Ni mpuuzi tu anayeweza kukubali hizo reforms unless Samia asingekuwa anagombea
 
WIki iliyopita nilileta mjadala humu kuhusu kama CXM inaweza kwenda bila Chadema. Nilifuatilia ule mjadala wa wadau na jibu lilikuwa wazi kwamba "uchaguzi bila Chadema hauwezekani" Huo ni ukweli japo mchungu. UCHAGUZI huo hautapata kibali mbele ya macho ya dunia. Mbaya zaidi nikapata taarifa zisizo na ushahidi kwamba CHADEMA walikuwa wanakaribia kujaza watanzania mil 15 ili kuzuia uchaguzi.
Mimi siyo Godbless Lema Wala Mimi siyo nabii lakini kitendo Cha Rais wa Zanzibar na Rais wa Jamhuri Kuahirisha Kuvunja Bunge kwa mara ya kwanza katika ya Tanzania ni ishara ya wazi kwamba CCM na CHADEMA WATAKAA MEZANI Moja na kufanya Reforms kadhaa. Ndo maana Bunge halitavunjwa! Na kwa hatua hii NAOMBA nimpongeze Rais wa Tanzania mama Samia kwa ujasiri huo. Hiyo ni Hekima kwa Maoni yangu. Hata hivyo, Nina maswali matano ya kuuliza!

Swali la kwanza! Je, Taarifa za mitandaoni kwamba Bungeimeahirishwa KUVUNJWA ili CCM na CHADEMA wakae meza Moja ni za kweli? Kama ni Kweli!
Je, Kwa nini CCM Imeamua kukaa meza Moja na Chadema badala ya kwenda na vyama vile vingine 17? Vyama 18 vinaweza kushindwa dhidi ya Chama kimoja. Hii ina maana kwamba Vyama 18 vikishiriki uchaguzi bila Chadema bado ngoma inakuwa nzito kiasi Cha Kuahirisha Bunge? Je, hii ndo kuthibitisha vyama Vingine vya upinzani kwamba Chama Cha upinzani ni kimoja japa Tanzania? Kwamba bila Chadema uchaguzi haiwezi kuwa halali? Ina maana kwamba CHADEMA ina nguvu kuliko vyama 17 vya upinzani?

Swali la pili, kwa nini Mama Samia na CCM wameamua kukaa meza Moja na Chadema? Je, ni kwa sababu ya Nyomi ya Mikutano ya akina Mnyika, Rose Mayemba, Heche na Lema au Presha ya Kimataifa au Presha ya Kanisa katoliki na madhehebu mengine ai ni kwa sababu CCM na Mama ni wazalendo na kwa hiyo wameamua kutanguliza mbele maslahi ya nchi na mustakabali mwema wa nchi? Au mkusanyiko wa Vyote hiyo?

Swali la tatu, swali kubwa na tata! Je, Kitakachofanyika ni reforms au mfano wa Reforms? Je, CCM itakubali tume huru ya uchaguzi, kuanzia ngazi Taifa mpaka kwenye Vituo vya kupiga kura? Hili swali ni kubwa mpaka ninaogopa kufafanua zaidi ya hapo! Narudia tena, CCM itaunda tume huru ya uchaguzi??

Swali la Nne, swali gumu kwa wapinzani! Je, wakati CCM NA CHADEMA wakikaa MEZANI na kuvutana kuhusu Reforms, vyama Vingine vya upinzani vinakaa upande wa CCM au Upande wa Chadema? Maana kwenye agenda hii vyama 17 vya upinzani vilikuwa upande wa CCM na waliunga mkono Uchaguzi ufanyike bila reforms. Sasa nauliza kwamba kwenye meza ya upatanisho, vyama 17 vitakuwa upande gani??
Nina uhakika hili swali ni gumu kwa wapinzani! Ha ha ha ha ha.

swali la sita, hivi nani atakuwa mwenyekiti wa huo mjadala? Je, mjadala huo wa reforms utaanza lini na unaishia lini? Hili swali siyo dogo kwa sababu tulitumia mabilioni kwenye katiba mpya ya Warioba na Ikishia hewani kwa hasara.

Je, mjadala huo unaanza Lissu akiwa ndani au ameshatoka bila masharti? Akiwa Nje na Kesi au ameachiwa bila Masharti? Kama ndivyo, Kesi ijayo ya Lissu atatolewa!?
Swali la Saba, Uchaguzi wa Tanzania bado utakuwa octoba, 2025 au utafanyika 2027. Au 20230!? Jibu sahihi ni Lipi? Nani ataamuakuhusu muda wa Reforms? Mganga hajigangi? Kipindi Cha Reforms kinaamuliwa na wabunge au Rais? Je, Wabunge au Rais wenye Mgogoro wa kimaslahi juu ya jambo hil, wataamua kwa haki??
Siyo kwamba Maswali yameisha Ila Nimeona kwa Leo niishie hapa.
Nawakaribisha kwa mjadala usilo na mrengo kwa kisiasa Bali maslahi mapana ya nchi yetu.
By Mikael Aweda
Duuu, kweli kimya kingi kina mshindo mkuu. Aweda hukuwa huku jukwaani muda mrefu, naona umerudi kwa kasi hadi unataka kuchukua nafasi ya Lucas Mwashambwa ! Yaani unakimbia hadi unapita nyumba. Post zako huwa unasema una maswali matano, ila kiuhalisia ni ziadi ya matano, na ndani ya hayo maswali unayoweka kuna vijiswali vya nyongeza😂 Ila ww ni mmoja ya mliokwamisha mfumo wa vyama vingi ndani ya nchi hii, na ww ukiwa mmoja ya masnitch wakubwa.
 
Sasa wa kupongezwa hapa ni mama Samia kweli au Chadema na msimamo wao? Usiwe bias bhana
 
Andiko refu linalochosha kusoma tu, huku maudhui yake yakiwa hayana uzito wowote.

Unakazania CHADEMA, CHADEMA kukaa na CCM; lakini hata mara moja huwezi kutambua kwamba CHADEMA wanafanya kazi na umma wa waTanzania?

Unampongeza Samia, lakini huna hata na shukrani ndogo tu kwa wazee waliofanya kazi kubwa kuwaamsha Samia na Genge lake dhoruba inayowakabili mbele ya safari? Hata Wasira alipokwenda kuwaona akina Warioba na Butiku, kwako akili haikuwaza chochote?

Hao "mabeberu" unaowapa uzito mkubwa kwa hatma ya taifa hili, unadhani Samia na Genge lake anaweza kukosa njia za kuwaangukia akisha jihakikishia kubaki madarakani?

Andiko lako ni wazi kuwa huelewi maana ya :
"NO REFORM, NO ELECTION", wewe unadhani ni wimbo tu wa kawaida. Huyo Rais unayempongeza na Genge lake wanaelewa vizuri sana maana ya maneno hayo; na yanawatia hofu kubwa!
 
Duuu, kweli kimya kingi kina mshindo mkuu. Aweda hukuwa huku jukwaani muda mrefu, naona umerudi kwa kasi hadi unataka kuchukua nafasi ya Lucas Mwashambwa ! Yaani unakimbia hadi unapita nyumba. Post zako huwa unasema una maswali matano, ila kiuhalisia ni ziadi ya matano, na ndani ya hayo maswali unayoweka kuna vijiswali vya nyongeza😂 Ila ww ni mmoja ya mliokwamisha mfumo wa vyama vingi ndani ya nchi hii, na ww ukiwa mmoja ya masnitch wakubwa.
AHAAAA! Kumbe anayo historia yake humu?
 
Back
Top Bottom