Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,238
- 4,740
Nashukuru sana nimekupata Volkswagen Golf GTi ni gari nzuri?? maana nimeagiza kila mtu ananiambia itanisumbua spare sijui nn naona wananipa mawazo,Naomba maoni yako... nduu/mamaya
hakuna gari isiyokuwa na spare dukani sikuhizi mkuu,ukipata ushauri kwa toyota fun watakuambia hazipatikani au ni ghali, spare zipo ni kweli ghali but genuine , sio magumashi mchina. jiulize kama zamani watu walimiliki ford cortina, peugot 504, mercedes benz ml 200 , bedford na spare zilipatikana itakuwa leo hii?achana na watu wenye akili za ki ist na vits
Last edited by a moderator: