Ni nani huyo PakaJimmy? sababu Arusha tupo na chama cha SUBARU KASKAZIN wote wenye Subaru Arusha wapo ndan ya hiki chama.Subaru zimemaliza vijana wengi sana hapa Arusha. Hizi gari zinataka mtu aliyetuliza akili, lakini kama ndo gari ya kwanza kuimiliki ni hatari maana uta' tend kupenda kukimbia ili uonekane unaimudu, hapo ndo itakufinya.
Kuna jamaangu juzi alitoka kuinunua showroom Dar, alipofika Usa-River akatupigia washikaji zake kuwa atukute eneo fulani la matumizi, tukakusanyika tumsubiri, HAMAD akiwa kabakiza km 6 kuingia town alianza kuona watu wanaomjua, akaendelea kukanyagia, ghafla mzee ngoma ikamzidi ujanja, iliviringika mara 5 na kumvunjavunja mbavu zote mshikaji, tukapigiwa simu tukabebe mwili na vipande vipande vya mabati ya gari.
Ikawa ndo mwisho wa mshikaji na subaru yake mpya.
Tukakosa kupiga bata siku hiyo, bili ambayo ilikuwa a'settle yeye ikabidi tulipe chap' lakini mbaya zaidi tukamkosa best yetu.
Chezea kabisa Subaru.
Pole sana mkuu, pamoja na msiba na bata lote likayeyuka.Subaru zimemaliza vijana wengi sana hapa Arusha. Hizi gari zinataka mtu aliyetuliza akili, lakini kama ndo gari ya kwanza kuimiliki ni hatari maana uta' tend kupenda kukimbia ili uonekane unaimudu, hapo ndo itakufinya.
Kuna jamaangu juzi alitoka kuinunua showroom Dar, alipofika Usa-River akatupigia washikaji zake kuwa atukute eneo fulani la matumizi, tukakusanyika tumsubiri, HAMAD akiwa kabakiza km 6 kuingia town alianza kuona watu wanaomjua, akaendelea kukanyagia, ghafla mzee ngoma ikamzidi ujanja, iliviringika mara 5 na kumvunjavunja mbavu zote mshikaji, tukapigiwa simu tukabebe mwili na vipande vipande vya mabati ya gari.
Ikawa ndo mwisho wa mshikaji na subaru yake mpya.
Tukakosa kupiga bata siku hiyo, bili ambayo ilikuwa a'settle yeye ikabidi tulipe chap' lakini mbaya zaidi tukamkosa best yetu.
Chezea kabisa Subaru.
Kama Prado ilikupita basi wewe ni mwoga.Mimi nina Prado na Subaru.Nikitaka kuweka heshima kwenye safari ndefu huwa natumia Subaru.Huwa natembelea 180 km /hr karibu nusu ya safari.
Gari zilizowahi nisumbua ni Kilimo Kwanza na Mercedes Benz.
Namuomba Mungu anibariki nivute Mercedes Benz. Hapo ntakuwa natembea 240km/hr.
Kilimo kwanza nitawakomesha
kilimo kwanza ndo magari gani hayo? huwa nayasikia tu
volkswagen gti zinapatikana be fowardmkuu hizo gari ulizinunua wap?
mpaka unaiweka barabarani unatakiwa uwe na USD 90,000 hapo umelipia ushuru kila kitu. ila kama umezoea kuendesha toyota usijaribu hii unaweza hisi umepanda ndegeUnadhani hio gari inacost $?
Nashukuru sana nimekupata Volkswagen Golf GTi ni gari nzuri?? maana nimeagiza kila mtu ananiambia itanisumbua spare sijui nn naona wananipa mawazo,Naomba maoni yako... nduu/mamayamimi namiliki nissan Gtr ya 2008 speeed 340km/h na volkswagen golf Gti ya 2006 speed 300km/h zote zina super turbo charger, hapo hakuna cha kilimo kwanza, mercedez benz,subaru au bmw inayotia mguu.
Sio uwoga ...ni umakini tu!180 nusu ya safari kwa barabara zetu???Kama Prado ilikupita basi wewe ni mwoga.Mimi nina Prado na Subaru.Nikitaka kuweka heshima kwenye safari ndefu huwa natumia Subaru.Huwa natembelea 180 km /hr karibu nusu ya safari.
Gari zilizowahi nisumbua ni Kilimo Kwanza na Mercedes Benz.
Namuomba Mungu anibariki nivute Mercedes Benz. Hapo ntakuwa natembea 240km/hr.
Kilimo kwanza nitawakomesha
Mkuu mimi ninayo hii gari tena ode ya SF5.Yangu imekaa garage kwa mda haijatoka ikiwa na matatizo ya gia box,niliagiza vifaa adi nairobi lakini bdo hata juzi nimepita garage kwa huyo fundi nimeona ingine hata haijatembea mwenzi bongo lakin gia box ilishaanza kusumbua so kama unaitamani sana Forester basi chukua manual hzo ni bora kuliko Auto.