Kuagiza subaru forester

Kuagiza subaru forester

kuna kampuni inaitwa enhance-auto.jp hii kampuni ikoje kuna mtu ashawai agiza kupitia kampun hio?
 
Subaru zimemaliza vijana wengi sana hapa Arusha. Hizi gari zinataka mtu aliyetuliza akili, lakini kama ndo gari ya kwanza kuimiliki ni hatari maana uta' tend kupenda kukimbia ili uonekane unaimudu, hapo ndo itakufinya.

Kuna jamaangu juzi alitoka kuinunua showroom Dar, alipofika Usa-River akatupigia washikaji zake kuwa atukute eneo fulani la matumizi, tukakusanyika tumsubiri, HAMAD akiwa kabakiza km 6 kuingia town alianza kuona watu wanaomjua, akaendelea kukanyagia, ghafla mzee ngoma ikamzidi ujanja, iliviringika mara 5 na kumvunjavunja mbavu zote mshikaji, tukapigiwa simu tukabebe mwili na vipande vipande vya mabati ya gari.

Ikawa ndo mwisho wa mshikaji na subaru yake mpya.

Tukakosa kupiga bata siku hiyo, bili ambayo ilikuwa a'settle yeye ikabidi tulipe chap' lakini mbaya zaidi tukamkosa best yetu.

Chezea kabisa Subaru.
Ni nani huyo PakaJimmy? sababu Arusha tupo na chama cha SUBARU KASKAZIN wote wenye Subaru Arusha wapo ndan ya hiki chama.

 
Last edited by a moderator:
Subaru zimemaliza vijana wengi sana hapa Arusha. Hizi gari zinataka mtu aliyetuliza akili, lakini kama ndo gari ya kwanza kuimiliki ni hatari maana uta' tend kupenda kukimbia ili uonekane unaimudu, hapo ndo itakufinya.

Kuna jamaangu juzi alitoka kuinunua showroom Dar, alipofika Usa-River akatupigia washikaji zake kuwa atukute eneo fulani la matumizi, tukakusanyika tumsubiri, HAMAD akiwa kabakiza km 6 kuingia town alianza kuona watu wanaomjua, akaendelea kukanyagia, ghafla mzee ngoma ikamzidi ujanja, iliviringika mara 5 na kumvunjavunja mbavu zote mshikaji, tukapigiwa simu tukabebe mwili na vipande vipande vya mabati ya gari.

Ikawa ndo mwisho wa mshikaji na subaru yake mpya.

Tukakosa kupiga bata siku hiyo, bili ambayo ilikuwa a'settle yeye ikabidi tulipe chap' lakini mbaya zaidi tukamkosa best yetu.

Chezea kabisa Subaru.
Pole sana mkuu, pamoja na msiba na bata lote likayeyuka.
 
Habari wanajamii .....nnampango wa kuvuta forester naomba msaada nitumie kampuni gani kuagiza toka japan ambayo iko cheap na haina usumbufu au ujanjaujanja.Pia hizi gari hazna matatizo??? Nsaidien

subaru-forester.jpg









































Nadhani utaelewa kwanini usijute kunuua subaru
 
Last edited by a moderator:
Kama Prado ilikupita basi wewe ni mwoga.Mimi nina Prado na Subaru.Nikitaka kuweka heshima kwenye safari ndefu huwa natumia Subaru.Huwa natembelea 180 km /hr karibu nusu ya safari.

Gari zilizowahi nisumbua ni Kilimo Kwanza na Mercedes Benz.

Namuomba Mungu anibariki nivute Mercedes Benz. Hapo ntakuwa natembea 240km/hr.

Kilimo kwanza nitawakomesha

kilimo kwanza ndo magari gani hayo? huwa nayasikia tu
 
mimi namiliki nissan Gtr ya 2008 speeed 340km/h na volkswagen golf Gti ya 2006 speed 300km/h zote zina super turbo charger, hapo hakuna cha kilimo kwanza, mercedez benz,subaru au bmw inayotia mguu.
 
Nyie endeleeni tu,
mi nitafuta kamtaji, ili ninunue japo kaGURUMO.
 
mimi namiliki nissan Gtr ya 2008 speeed 340km/h na volkswagen golf Gti ya 2006 speed 300km/h zote zina super turbo charger, hapo hakuna cha kilimo kwanza, mercedez benz,subaru au bmw inayotia mguu.

mkuu hizo gari ulizinunua wap?
 
nissan gt-r zinapatikana trade car view
 

Attachments

  • 13.jpg
    13.jpg
    21.9 KB · Views: 167
Unadhani hio gari inacost $?
mpaka unaiweka barabarani unatakiwa uwe na USD 90,000 hapo umelipia ushuru kila kitu. ila kama umezoea kuendesha toyota usijaribu hii unaweza hisi umepanda ndege
 
mimi namiliki nissan Gtr ya 2008 speeed 340km/h na volkswagen golf Gti ya 2006 speed 300km/h zote zina super turbo charger, hapo hakuna cha kilimo kwanza, mercedez benz,subaru au bmw inayotia mguu.
Nashukuru sana nimekupata Volkswagen Golf GTi ni gari nzuri?? maana nimeagiza kila mtu ananiambia itanisumbua spare sijui nn naona wananipa mawazo,Naomba maoni yako... nduu/mamaya
 
Last edited by a moderator:
Kama Prado ilikupita basi wewe ni mwoga.Mimi nina Prado na Subaru.Nikitaka kuweka heshima kwenye safari ndefu huwa natumia Subaru.Huwa natembelea 180 km /hr karibu nusu ya safari.

Gari zilizowahi nisumbua ni Kilimo Kwanza na Mercedes Benz.

Namuomba Mungu anibariki nivute Mercedes Benz. Hapo ntakuwa natembea 240km/hr.

Kilimo kwanza nitawakomesha
Sio uwoga ...ni umakini tu!180 nusu ya safari kwa barabara zetu???
 
Yangu imekaa garage kwa mda haijatoka ikiwa na matatizo ya gia box,niliagiza vifaa adi nairobi lakini bdo hata juzi nimepita garage kwa huyo fundi nimeona ingine hata haijatembea mwenzi bongo lakin gia box ilishaanza kusumbua so kama unaitamani sana Forester basi chukua manual hzo ni bora kuliko Auto.
Mkuu mimi ninayo hii gari tena ode ya SF5.
Hizi gari madhubutu sana na kuua gearbox inelekea ni uzembe kiasi fulani.

Gari yoyote wanaoua gearbox ni malearner.
Nilikuwa na older model SG5 na ilikuwa bomba.

Generally Subaru Forester ni gari nzuri sana ila spare zake ni ghali sana, hasa ukitilia maanani kuwa ni gari zimetengenezwa kwa ajili ya sports.
 
Back
Top Bottom