Kwanini usiagize mwenyewe? Fungua Japanese used cars. | tradecarview.com
It is easy siku hizi. Unaingia kwenye mtandao unafanya search ya gari unayotaka then mnakubaliana price na muuzaji. Mkishakubaliana atakutumia proforma invoice kwa ajili ya kufanya malipo benki.
Wakishapokea pesa yako wataanza inspection then wata-book usafiri wa meli kuileta bongo.
Mchakato unaweza kusubiri hata 5 weeks.
Watakutumia bill of lading na documents zingine baada ya kusafirisha af wewe utatakiwa kusubiri.
Ikifika, utatafuta wakala wa kukusaidia kutoa gari na kufanya registration. Then the car is yours
Angalizo:
Kuna mitandao mingine ina matapeli so ni muhimu kupata reference kutoka kwa watu waliowahi kuagiza.
Kwenye clearance hapo bandarini kuna matapeli pia wanaweza kukutolea gari lako kama kontena la maziwa. Utakuwa unaendesha gari kama transit siku una-renew road licence tra wanakudaka.
Usiangaike sana, nenda katika ofisi za beforward tanzania pale karibu na hospital ya ocean road, utachagua gari, kulipia na wao wenyewe watakutolea likifika nchini kwa gharama ya 250,000 tu kwa gari dogo. Una weza cheki magari yao online Japanese Used Cars | BE FORWARD na hii kampuni ndio yenye magari ya bei nafuu na usalama wa pesa zako kuliko kampuni zote jaman.