Kuagiza bidhaa kutoka China

Kuagiza bidhaa kutoka China

mzungukiyungu

New Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
4
Reaction score
1
Napenda kupata muongozo. Nimeotaji kununua machine ya kuchania mbao kutoka china. Sasa sijaelewa vyema ni kwa namna gani fedha zangu zitakuwa salama. Kwenye hii biashara ili niwe na uhakika wa kuupata mzigo ninaotaka kuulipia.

Nipeni mwongozo ni kwa namna gani? Nitafanya na biashara ya kuagiza machine kutoka china itakuwa salama? Machine nimezipata kwenye tovuti ya alibaba.com
 
Hii machine ndio nataka kuinunua. Sasa usalama wa kwamba nikillipia nitapata upo vip? Kwa mlio na uzoefu tafadhali
IMG-20190806-WA0000.jpeg
 
Nitafanya na biashara ya kuagiza machine kutoka china itakuwa salama? Machine nimezipata kwenye tovuti ya alibaba.com
Fanya yafuatayo.

#1. Tumia njia ya malipo kulingana na taratibu za alibaba: https://service.alibaba.com/buyer/faq_detail/20155203.htm

#2. Mzigo utasafirishwa na kufika bandari Dar.

#3. Agent wako atashugulikia taratibu zote za clearance, uwe tayari kulipia tozo za kodi/ vat, utajulishwa ni kiasi gani wakati wa clearance

Njia mbadala
- Waweza kunitumia mimi kukununulia + kukusafirishia + kufanya clearance na kukutumia mahala ulipo ( kama upo mkoani)
- Pitia baadhi ya maoni ya wadau ambao tayari wamepata huduma kwangu fuata hii link: www.bit.ly/101buy4me

Karibu
 
Fanya yafuatayo.undefined#1. Tumia njia ya malipo kulingana na taratibu za alibaba: https://service.alibaba.com/buyer/faq_detail/20155203.htmundefined#2. Mzigo utasafirishwa na kufika bandari Dar.undefined#3. Agent wako atashugulikia taratibu zote za clearance, uwe tayari kulipia tozo za kodi/ vat, utajulishwa ni kiasi gani wakati wa clearanceundefinedNjia mbadala- Waweza kunitumia mimi kukununulia + kukusafirishia + kufanya clearance na kukutumia mahala ulipo ( kama upo mkoani)- Pitia baadhi ya maoni ya wadau ambao tayari wamepata huduma kwangu fuata hii link: www.bit.ly/101buy4meundefinedKaribu
Mkuu Mwl RCT Kuna mashine ndogo inaitwa ROTIMATICundefined (ROTI MAKER)huko Alibaba naomba kufahamu Hadi inanifikia Dodoma gharama zoote itakuwa kiasi gani tafadhali
 
Napenda kupata muongozo. Nimeotaji kununua machine ya kuchania mbao kutoka china. Sasa sijaelewa vyema ni kwa namna gani fedha zangu zitakuwa salama. Kwenye hii biashara ili niwe na uhakika wa kuupata mzigo ninaotaka kuulipia. Nipeni mwongozo ni kwa namna gani? Nitafanya na biashara ya kuagiza machine kutoka china itakuwa salama? Machine nimezipata kwenye tovuti ya alibaba.com
Alibaba wanuza vitu kwa jumla au unamaanisha aliexpress?
 
B.M.T solution, sasa inafanya maisha ya wafanyabiashara kua rahisi.
Unaweza kutuma pesa kupitia mpesa au bank ukapata yuan.

Pia tunaweza kukusaidia kulipa kwenye kampuni unayotaka kununua mzigo wako.
na pia kukusaidi kusafirisha kupitia silent Ocean mpaka Dar es salaam kutoka China.

garama zetu ni nafuu.
Kutuma na kupokea pesa kutokea China au Tanzania.
+8613164621057- text whatsapp kupata msaada zaidi
 
Unaweza pia kuwaona unique cargo ni mawakala wa mzigo china na tanzania ofsi zao zipo kariakoo mtaa wa pemba na livingstone na china ziko gudongang provide guanzou
Wanafanya Aircargo pia? If yes naomba contact zao
 
Tatizo hamuweki bei, ukiingia mitandaoni bei zinaainishwa kwa volume au weight ya mzigo fulani gharama ni hizi mpaka TZ sasa mnaweka namba tutapiga simu ngapi.

Wekeni Bei kwamba CBM kiasi fulani gharama nyingine kiasi fulani, sio mnatuachia namba tu zinaelea.
 
Back
Top Bottom