Kuagiza bidhaa kutoka China

Kuagiza bidhaa kutoka China

Meli zinapiga kazi, ndege ndio bado hazijachanganya.
Kwangu hutumia ndege.. Maana hua naagiza viparcel tu.. Ila kuna parcel kama vitatu niliagiza tangu mwezi December mwaka jana ila hazijafika mpaka l3o
 
Habari , Mpendwa Mteja Karibu Kuagiza Nasi Bidhaa Mbalimbali Kutoka China Kwa Gharama Nafuu Kabisa.
Tunafanya Sourcing Ya Bidhaa Zifuatazo.
Kama Kuna bidhaa unahitaji na haipo kwenye hizi category jisikie huru kuwasiliana nasi kwa ajili ya kupata huduma hiyo.

Mnakaribishwa kuchagua bidhaa mbalimbali na kuagiza kwa jumla kwa makundi bila mabadiliko yeyote katika bei elekezi ya bidhaa kwa Jumla.

Bidhaa zitatumwa (Baada Ya kuweka Oda na malipo) na kugawiwa Katika Store Yetu iliyopo Dar, kwa wateja waliopo mkoani huduma ya Express utatumiwa mzigo mahali popote ulipo mzigo ukishawasili Dar Kutoka China.
Kwa Mawasiliano Zaidi:
Piga simu namba:
+8615542167941 China
+255686540204 Dar / Moro
+255654212520 Dar
+255675214360 Mwanza
Instagram :mtbusinesssolutions
Karibuni
Sijaelewa nyinyi ni shipping agency au
 
Hapana sisi unatuagiza bidhaa unayo hitaji tunakununulia na kukusafirishia hadi tanzania
 
Zaidi ya mwaka pia tunaweza tukakuunga group la watsap ili kuona bidhaa tunazotuma nitumie number yko pm nikuadd
 
B.M.T solution, sasa inafanya maisha ya wafanyabiashara kua rahisi.
Unaweza kutuma pesa kupitia mpesa au bank ukapata yuan.

Pia tunaweza kukusaidia kulipa kwenye kampuni unayotaka kununua mzigo wako.
na pia kukusaidi kusafirisha kupitia silent Ocean mpaka Dar es salaam kutoka China.

garama zetu ni nafuu.
Kutuma na kupokea pesa kutokea China au Tanzania.
+8613164621057- text whatsapp kupata msaada zaidi
Hivi kwel silent ocean wanafanya 450$/CBM.mbona ghal sana hawa jamaa
 
Hiv kwel silent ocean wanafanya 450$/CBM.mbona ghal sana hawa jamaa
Si ni kampuni kubwa mkuu na wanajiweza. So watatumiwa na wanaojiweza kiuchumi tu. Sie wengine acha tukomae na watu kama Mwl RCT
 
Si ni kampuni kubwa mkuu na wanajiweza. So watatumiwa na wanaojiweza kiuchumi tu. Sie wengine acha tukomae na watu kama Mwl RCT
Huyo mwalimu ana ofisi au ndo through chating....ujue kitambo silent ilikua Ni around 350$/CBM...sasa juz nmeenda pale wananambia ni 450$ nkawambia duh
 
Huyo mwalimu ana ofisi au ndo through chating....ujue kitambo silent ilikua Ni around 350$/CBM...sasa juz nmeenda pale wananambia ni 450$ nkawambia duh
Zamani si walikuwa wanafanya kienyeji, sahivi kodi zote wanalipa.
 
Kwangu hutumia ndege.. Maana hua naagiza viparcel tu.. Ila kuna parcel kama vitatu niliagiza tangu mwezi December mwaka jana ila hazijafika mpaka l3o
vitakua kwenye ile ndege iliopoteaga
 
Back
Top Bottom