Kuachwa kunauma jamani


umenena vema kibela, donatila njoo beba haya madini apa songa mbele tena huwezi kujua umeepushwa na nini huko mbeleni maana kila jambo hutokea kwa kusudi fulani so usijali mama utampata bora zaidi ya huyo cha msingi usiwe na papara chukua muda kuchambua pumba na mchele...!!
 

Ushauri mzuri sana na ashukuru Mungu kaambiwa ukweli kuliko angechezewa feelings zake.Nimependa sana huo ujumbe wa maandishi makubwa
 
Ushauri mzuri sana huu nami nimeubeba.
 
Achana nae wanaume wapo wengi sana. Huyo asikuumize akili
 
Hakukupenda huyo.
Ukweli ni kwamba unapaswa kumshukuru MUNGU kuwa umeachika maana balaa lake lingekuwa kubwa zaidi kama angeendelea kuwa na wewe
 
 
Last edited by a moderator:
Mshukuru Mungu, then achana nae fasta! Jiondoe katika hiyo shida, ukiendelea kujifanya unalialia atakamata hiyo "weakness" akuadabishe hasa! Binadamu sasa hivi hatueleweki (si Berlin si Warsal)!
Nakumbuka niliwahi kuwa na msichana nilimpenda haswa, siku moja nimemisplace simu yangu nikaichukua yake nijibip, khaa nikashangaa jina "salon", loh mimi na salon wapi na wapi! Kimyakimya nikaanza kuscroll phonebook. Nikaona mmoja mwenye bahati yake kaseviwa "husband to be", nilichoka!!
 

ebwana eeeeh, that means salon ya kike kabisaaa,ujana na changamoto zake
 
Nilikuwa na mpenzi kwa
muda wa miaka miwili lakini alikuwa haniambii ukweli.Siku moja nikaamua
kumuuliza hivi nini malego yetu? Akajibu nina msichana mwingine tena
anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.

Naombeni ushauri wana JF.

say thanks God yaan shukuru kakuepushia mengi na wako yupo njian. vumilia
 
It’s not the breakup that hurts the most. It’s the post trauma that follows it. give yourself time bibie n trust me utamsahau, alikua tuition wala usijipe BP.. move on dear
 

Attachments

  • 1414749210245.jpg
    82.6 KB · Views: 212
hapa ni kukubali hali halisi na kuendelea na maisha yako kama ujuavyo mapenzi siku zote hayalazimishwi

Ni vyema amekwambia kweli kuliko ungeona picha za harusi facebook
 
Tena muambiee mi mwenyew nilokuwa nataka kukyambia nishachoka na wewe nipo ns nimpendae zaaid xo kama umewah kuniambia hivyo nashukulu
 
Nilikuwa na mpenzi kwa
muda wa miaka miwili lakini alikuwa haniambii ukweli.Siku moja nikaamua
kumuuliza hivi nini malego yetu? Akajibu nina msichana mwingine tena
anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.

Naombeni ushauri wana JF.

naskiaga wanasema eti kuachwa kunauma wenda ni kweli mm sijawai kuachwa naacha mm. mungu asante sijawai kuachwa.
 
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wa miaka miwili lakini alikuwa haniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu? Akajibu nina msichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.

Naombeni ushauri wana JF.

"A clear rejection is always better than a fake promise." ( Khantwe 2014)
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…